Mshana jr Anaongoza Asilimia ya Kupata Likes

mshana jr bila shaka atakua anatumia ndumba aiseee.

Yaani hata mie nikikuta tu Post yake naona inanipendeza machoni lazima nigonge like.

Kama si ndumba kuna kakitu hapo.
 
Off Course weye ni mmoja wa watu makini sana hapa JF, Michango yako ina akili nyingi sana na you always speak your mind.

Big up sana
 
Off Course weye ni mmoja wa watu makini sana hapa JF, Michango yako ina akili nyingi sana na you always speak your mind.

Big up sana

Mkuu nashukuru i am humbled
hivi yule mrembo aliekudondokea hapa JF iliishiaje?
halafu umemtoa 'madenge' naona ambae ambae alikuwa anafanya warembo wakudondokee...
 
Kuna wengine humu LIKE zetu zilipotelea hewani baada ya Marekebisho mapya ya JamiiForums huwa sielewagi zilikwenda wapi?....Ila naamini jamiiforums kuna kale katabia ka kwenye magroup ya whatsapp au Facebook wanaangalia kapost nani?...Ila hizi LIKE hazitupi Shibe kikubwa hapa ni UZIMA TU.
 
hii list naona hukuifanyia research vizuri,
mimi nina likes 914 na post 2166
hapo ni 42%
hapa nimewapita wote
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Wewe ni wa ngapi??
 
Haswaaa...!! Ameadimika kama noti zenye picha ya Raisi Mwinyi!!
Labda kwa sababu ni mwezi wa toba kwa wale ndugu zetu wakristu ndio kaamua kujiweka kando.........nahisi tu lakini sina uhakika hahahaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…