Mshana Jr, hebu achana naye huyo, njoo kwangu upate pumziko

Daa, mtoto kazimika kweli, si rahisi mtu kutumia muda wake kuandika Shairi kiasi hivi, there is something behind... kazi kwako Jr, tunaomba mrejesho tu mkuu, good luck...
 
Daa, mtoto kazimika kweli, si rahisi mtu kutumia muda wake kuandika Shairi kiasi hivi, there is something behind... kazi kwako Jr, tunaomba mrejesho tu mkuu, good luck...
You never know about JF unaweza kuuziwa mbuzi kwenye kiroba...tumeyaona haya[emoji3]
 
You never know about JF unaweza kuuziwa mbuzi kwenye kiroba...tumeyaona haya[emoji3]
Mkuu ni kweli, lakini si kwa namna hii, kuandika gazeti lile bila sababu yeyote si rahisi, hongera zako kaka mtoto kaingia mwenyewe kama bafuni vile...
 
Baada ya mume dume la simba kushindwa kazi naona sasa unatafuta michepuko![emoji1]
 
Mkuu ni kweli, lakini si kwa namna hii, kuandika gazeti lile bila sababu yeyote si rahisi, hongera zako kaka mtoto kaingia mwenyewe kama bafuni vile...
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
[emoji23][emoji23][emoji23].......Hivi mkuu huwa unafanyaje pm zisikuzidi nguvu?[emoji30]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji115] [emoji3] [emoji3] [emoji85] [emoji85] [emoji12] [emoji12]
 
Hivi hawa waimbaji wa bongo hawafahamu kuwa una very good lyrics?? wakutafute na wakupe mpunga ili uwanyooshe lyrics zao ambazo ni hizo hizo kila siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…