kengeledoi
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 325
- 230
- Thread starter
-
- #21
msata karibu akisema yupo nje ya nchi ile ndoto ya kufika dar itakuwa haipoπππ tutabaki umasaini tu mkuuAtakwambia Yupo Msata
Hayupo dar.
wiki 3 ili tujue kuogelea kabisa maana masai na bahari ni vitu viwili tofauti[emoji1436] watakaa siku ngapi vile [emoji40][emoji40][emoji40]
wiki 3 ili tujue kuogelea kabisa maana masai na bahari ni vitu viwili tofauti
Very very sorry naona kuna kitu hakikuwa sawa post nyingi kunihusu ndio naziona Leo.... Hebu tujipange tenaHabari Wakuu, Natumaini mpo poa huku tukiwa tunaendelee kumuombea Maxence Melo na familia yake.
Kwako Mshana Jr natumaini u mzima, mimi na familia yangu ni wazima kabisa. Dhumuni la waraka huu ni kutaka kukukumbusha juu ya ile ahadi yako ya kunikaribisha dar. Kwa sasa nipo likizo hivyo nasubiria ule mwaliko wako pia nitakuja na familia yangu yote na hivi hatujawahi fika dar tutafurahi sana.
Wako mwana Jamii Forum member.......
Endito
[emoji23] [emoji23] [emoji81] [emoji81] [emoji23] [emoji81] [emoji81]Mshana una tabu kweli watoto hadi PM wanaogopa kuja ,wanakuja hadharani ili ushahidi uwepo wakipotea kwenye mazingira yasiyo eleweka
Punguza dozi Mshana za kina Rasi Nyoka
Wish I could turn back the time [emoji25] [emoji25] [emoji25][emoji23][emoji23][emoji23] dah mshana timiza ahadi
[emoji2] wanakuja na vinonomshana unaloo wamasai wanakujia kijiji kizima!!
[emoji81] [emoji81] [emoji81] kilingeniAtakwambia Yupo Msata
Hayupo dar.
Live[emoji115] [emoji779] [emoji779] [emoji779]Mshana jr
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]mshana jr hana tabu, ila ili kuweka balance hao ndugu zako utawaacha kwake lakini wewe uje kwangu, hata nauli ya kutoka kwa Mshana mpaka kwangu nitalipa, karibu very
[emoji120] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji120] [emoji144] [emoji144] [emoji115] [emoji116]Karibuni sana
Kuna fitina ilifanyika. .wallah nikimjua huyo mtu [emoji35] [emoji35] [emoji35]