Mshana Jr hii ni Reminder......

mshana jr hana tabu, ila ili kuweka balance hao ndugu zako utawaacha kwake lakini wewe uje kwangu, hata nauli ya kutoka kwa Mshana mpaka kwangu nitalipa, karibu very
 
Akikukaribisha tu mimi ndiye nitakayekupokea kukupeleka kwake...si eti eenh
 
Hizi zama zingine, Usije mjini huku tuna presha nyingi saana! karibu lakini ila Mtakaa mda gani?
 
Very very sorry naona kuna kitu hakikuwa sawa post nyingi kunihusu ndio naziona Leo.... Hebu tujipange tena
 
Mshana una tabu kweli watoto hadi PM wanaogopa kuja ,wanakuja hadharani ili ushahidi uwepo wakipotea kwenye mazingira yasiyo eleweka
Punguza dozi Mshana za kina Rasi Nyoka
[emoji23] [emoji23] [emoji81] [emoji81] [emoji23] [emoji81] [emoji81]
 
mshana jr hana tabu, ila ili kuweka balance hao ndugu zako utawaacha kwake lakini wewe uje kwangu, hata nauli ya kutoka kwa Mshana mpaka kwangu nitalipa, karibu very
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…