kengeledoi
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 325
- 230
Habari Wakuu, Natumaini mpo poa huku tukiwa tunaendelee kumuombea Maxence Melo na familia yake.
Kwako Mshana Jr natumaini u mzima, mimi na familia yangu ni wazima kabisa. Dhumuni la waraka huu ni kutaka kukukumbusha juu ya ile ahadi yako ya kunikaribisha dar. Kwa sasa nipo likizo hivyo nasubiria ule mwaliko wako pia nitakuja na familia yangu yote na hivi hatujawahi fika dar tutafurahi sana.
Wako mwana Jamii Forum member.......
Endito
Kwako Mshana Jr natumaini u mzima, mimi na familia yangu ni wazima kabisa. Dhumuni la waraka huu ni kutaka kukukumbusha juu ya ile ahadi yako ya kunikaribisha dar. Kwa sasa nipo likizo hivyo nasubiria ule mwaliko wako pia nitakuja na familia yangu yote na hivi hatujawahi fika dar tutafurahi sana.
Wako mwana Jamii Forum member.......
Endito