Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KWA UFAHAMU WANGU mshana jr YUPO SAFARINI AFRIKA KUSINI ATARUDI BAADA YA KUTIMIZA MAJUKUMU YAKE HUKO ALIPO, NAKANUSHA HABARI ZA KUMUHUSISHA NA SCORPION SABABU YULE UNAYEMUONA KWENYE AVATAR NDIO mshana jr HALISI, Je,anafanana na Scorpion?Mzuqa wanajamvi!
Nimecheka had kulia. Humu jamvin raha sana wanajf tunavituko. Eti kuna tetes humu tangu Scorpion akamatwe mshana jr haonekan humu jamvin. Hii kitu imenichekesha sana.
Amesharudi nchini, na hili ndo jibu lake alilotoa baada ya wanajf kuhoji sana,"Kulikuwa na namna nyingine ya mawasiliano".JF haipo SA?nauliza tu
Kulikuwa na namna nyingine ya mawasiliano..... Hilo ndo jibu alilotoa kwa sasa mshana jr yupo humu jfkwani ukiwa Sauz Jamii forums haipatilan?
mshana sio Scorpion labda useme yule wa kijichi hapo sawa
shikmoo mshan jr!
Ndugu yetu hawezi kufananishwa na scorpion
Ndugu yetu hawezi kufananishwa na scorpion
Duh..[emoji3064] hata mtuhumiwa mwenyewe kumbe siyeMjini hapa mkuu, Tunazotumia humu ni ID feki, usije ukashangaa ikiwa kweli.