Mshana Jr live interview on DJ sepetu show!

Mh [emoji33][emoji27] mi naona maswali na majibu nazidi kuogopa tu hata jua bado halijazama, bora niache kuzisoma hizi komenti [emoji85][emoji85][emoji85][emoji1373][emoji1373][emoji1373]
Mazingira niliyokulia na mambo niliyokutana nayo... Nimefaidika kwa kuufahamu ulimwengu wa giza katika kiwango cha juu mno
 
Kaka Mshana
Swali langu ni ulioa ukiwa na miaka mingapi, na nini kilikusukuma kuoa????!!!

Je, ulishawahi tamani watoto wako wawe kama wewe???

Ni nini kinakufanya ujione wewe ni baba bora????

Mtu kuota anapaa usiku, hiyo ndoto ina maana gani??!!!

Mwisho kabisa, natamani nikuone kwa macho yangu, mchana!!!
 
Aiseee hujalala.... Tuu mpendwa
 
Bro Mshana jr njoo sasa ujibu maswali yetu, sisi tusioogopa ndio muda wetu huu[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Cc:Kadagala1
 
 
 
Mh [emoji33][emoji27] mi naona maswali na majibu nazidi kuogopa tu hata jua bado halijazama, bora niache kuzisoma hizi komenti [emoji85][emoji85][emoji85][emoji1373][emoji1373][emoji1373]
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nilijua tu, kumuuliza maswali huyu mkuu muda huu mnamtesa sana, muda wetu usiku[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Cc:kadagala1
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mida ndio hii sasa karibu
 
 
Bro Mshana jr njoo sasa ujibu maswali yetu, sisi tusioogopa ndio muda wetu huu[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Cc:Kadagala1
Nipo hewani karibu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mida ndio hii sasa karibu
Mkuu, zaidi ya JF uko kwenye mitandao ipi ya kijamii na unatumia ID zipi? Na je, profile yako ya JF hutembelewa na idadi gani ya watu kwa avarage ya siku moja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…