Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado unazidi kudanganya?Inapunguza utamu😅😅😅Wapi
Kweli tena, ndio nmefikisha ujumbe hapa, ili kumuokoa ankoo,anakoelekea sio kuzuri[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sema kweli?? sasa wewe Kama anko wake umemsaidiaje yaani mpk sasa?
Wewe Rowin wewe!🥰😘😍🌹Umefanya Krimas yangu iwe tamu🤩Behaviourist Mambo!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]usimuamini hataKweli tena, ndio nmefikisha ujumbe hapa, ili kumuokoa ankoo,anakoelekea sio kuzuri[emoji28][emoji28]
Hii sentence... hahaaaaaaWewe ni yule ABJ wa makapuku forum au tumngojee mwingine?
Mbona we ile yakwako ya kike hatuisemi!.. tuiseme tuone kinavyonuka..?Mshana kumbe ID yako nyingine unajiita Cutelove😅
UkorofiiiiMshana kumbe ID yako nyingine unajiita Cutelove😅
cutelove Hujambo hapo ulipo?, ni matumaini yangu kwamba hujambo na unaendelea na maisha kama kaiwadaHujambo hapo ulipo,ni matumaini yangu kwamba hujambo na unaendelea na maisha kama kaiwada
Dhumuni la barua hii ni kukujulia hali hapo ulipo ,ni hayo tu mkuu .
Asante