Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]Haaa..!! Kwani hawezi?? Kwa taarifa yako sasa kaokoka[emoji851]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]Haaa..!! Kwani hawezi?? Kwa taarifa yako sasa kaokoka[emoji851]
[emoji849]kwanini mkuu..Mmmmh! Mna mambo.
ABJ mbona unamtetea sana mwamba?[emoji23][emoji23][emoji849]kwanini mkuu..
Hahaha..[emoji23] kuna kitu nasahau kukuuliza kila uchaoMshana umepata ganda la ndizi, 7800 inakutosha kula mbususu. Ila hakikisha jacket la njano(yanga) limevaliwa[emoji23][emoji23] joking!!
Uliza tu mkuu!Hahaha..[emoji23] kuna kitu nasahau kukuuliza kila uchao
Kwamba wewe ni ...79 kwa ID hii?Uliza tu mkuu!
We jamaa kweli ni lichawi, usiku wote huu unafanya nini?Kwamba wewe ni ...79 kwa ID hii?
[emoji23][emoji23]nishawahi kumuuliza akasema ameachana na hayo mambo kawa mtoto wa YesuABJ mbona unamtetea sana mwamba?[emoji23][emoji23]
Mimi naroga.. Wewe jee?[emoji23]We jamaa kweli ni lichawi, usiku wote huu unafanya nini?
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545] SIWEZI TENA KURUDI KULE GIZANI[emoji23][emoji23]nishawahi kumuuliza akasema ameachana na hayo mambo kawa mtoto wa Yesu
Na kweli namuona mara nyingi anaweka mambo yanayohusiana na Mungu[emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bado hujaacha ulozi!.jokes!Kwamba wewe ni ...79 kwa ID hii?
Asikuchanganye huyu, hajaacha ulozi[emoji23][emoji23][emoji23]nishawahi kumuuliza akasema ameachana na hayo mambo kawa mtoto wa Yesu
Na kweli namuona mara nyingi anaweka mambo yanayohusiana na Mungu[emoji4]
Haya nimekuelewa[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bado hujaacha ulozi!.jokes!
Hahaha[emoji23]Asikuchanganye huyu, hajaacha ulozi[emoji23]
Ameen..! Mungu azidi kukuongoza[emoji122][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545] SIWEZI TENA KURUDI KULE GIZANI
[emoji1][emoji1][emoji1]Kama hajaacha ujue ndo anaenda kuacha.Asikuchanganye huyu, hajaacha ulozi[emoji23]
Aaamen[emoji23] [emoji1545][emoji1545][emoji1][emoji1][emoji1]Kama hajaacha ujue ndo anaenda kuacha.
#Mungu ana nguvu zaidi#
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Vile Mshana Jr anachungulia huu uzi kwa mbali akijifanya kuwa hajauona ili kuwakwepa akina Mwajuma-kibinue wa JF wasije wakafukua makaburi bure[emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 2053405