Mshana jr na wengine njoni huku.

Noah + mshana Jr = ?????
fisi wana mashine Mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
please nia
PLEASE NICHEKI INBOX AU 0767328063 au pia waeza tembelea office zetu hapa Quality center-mtava -Pugu rd
 
navojua mimi hata engen d4 ni gari nzur tu inatakiwa usipitilize servise sion ubaya wa d4 sema wabongo wana kasumba ya kupenda jambo hizo old model zinakuja na 3s pamoja na 4s ni kweli ngumu lakin kwa unywaji wa mafuta unakua juu kidogo hizo d4 zipo vizur tu na hasa ikiwa vvti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza nina wasiwasi mshana Jr hajui mambo haya, labda ungemuuliza injini za ile kitu ya usiku[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwanza nina wasiwasi mshana Jr hajui mambo haya, labda ungemuuliza injini za ile kitu ya usiku[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

Subiri soon atakuja kusema mwenyewe mshana Jr, maana hapa nnavyomtaja tu keshajua

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
D-4 ni engine za kisasa na zinahitaji uelewa mzuri kuweza kuzijulia zinataka nini.... Engine zinazolalamikiwa sana ni hizi za Voxy hazipatani na spana kabisa... Ikiwa nzima utaipenda sana ila omba Mungu isizingue
Ushauri chukua Noah SR-40 au zile Tourer

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshana jr ....vipi toyo za usiku kuruka masafa marefu engine ukubwa gani [emoji4] [emoji46] [emoji23]

Don't put all egg on one Basket
 
D4 ni injini nzuri sana sema inataka nidhamu ya service lakini hizo za kwenye Noah mpya ni 1az sijui kwa nini zinasumbua kwenye Noah kwani hata Gaia na Rav 4 zipo injini hizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
D4 ni injini nzuri sana sema inataka nidhamu ya service lakini hizo za kwenye Noah mpya ni 1az sijui kwa nini zinasumbua kwenye Noah kwani hata Gaia na Rav 4 zipo injini hizo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijakuelewa mkuu yaani 1az zikiwa kwenye noah zinasumbua?
Halafu zikiwa kwenye gari zingine hazisumbui? fafanua nielewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijakuelewa mkuu yaani 1az zikiwa kwenye noah zinasumbua?
Halafu zikiwa kwenye gari zingine hazisumbui? fafanua nielewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi sijaelewa kwa nini nafikiri ni cooling system kwenye Noah inapata moto zaidi kutokana na muundo wa body. Maana engine ni hiyo hiyo kwenye Gaia unaipata, lakini sema ikiharibika hatujapata mafundi wa kuirudishia kwenye uhalisia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…