Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Kha!,kha!,anataka kugundua dawa nyingine ya Corona au siyo!!.Yupo anafanya utafiti fulani hivi ambao haifai kuonekana sana mbele za watu,si unajua tena miti shamba ina mizengwe kibao.
OK!!,kila la kheri kwake.Nipo naye kilingeni, milimani huku ugweno, si unajua huu mwaka wa uchaguzi...!
Kuna jimbo nalitaka!
Na nani?.Kashikiwa kilingeni
Sawa mkuu.Soma tena upya threads zake
Sawa ukimuona mwambie nampa hi.Njoo kibaha utamkuta.
Kha!kha!,Alivamia anga za watu?!!!alitunguliwa akiruka na ungo huko sumbawanga
so bado anatibu majeraha yake!
Ni km mzimu au siyo.Hatari sanaMshana Jr km Kigogo 2014.... anakuambia yupo MSATA... dk 5 baadae yupo DOM...dk 2 later yupo KISUTU MAHAKAMANI... dk 5 tena utamskia yupo na Lema kwa MROMBOO wanachoma nyama! Muda mfupi utamskia anasema... napita MSAMVU hapa.... dk 5 tena anakuambia amepishana Nape daraja la Mkapa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna taratibu za kichawi alikiukaNa nani?.
Mshana Jr na Mimi Nabii Bujibuji tuko busy na kufukuza Corona kwa njia ambazo mabeberu ππ wanaweza kuziita ni lamri chonganishi, lakini hamna noma, hapa kazi tu, maendeleo hayana chama.Wakuu habari za usiku?
Huyu member wa JF alizoeleka sana kuandika thread za kutisha tisha, lakini siku hizi yupo kimya sana sijui ni kwanini.
Je, ni Corona? Nimemiss thread zako za vitisho na vimbwanga. Kama upo humu basi njoo tuendeleze mijadala.
Nawapenda wana JF wote.