Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
- Thread starter
-
- #21
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kaka kesho kwa Mfipa utafika?Mshana Jr km Kigogo 2014.... anakuambia yupo MSATA... dk 5 baadae yupo DOM...dk 2 later yupo KISUTU MAHAKAMANI... dk 5 tena utamskia yupo na Lema kwa MROMBOO wanachoma nyama! Muda mfupi utamskia anasema... napita MSAMVU hapa.... dk 5 tena anakuambia amepishana Nape daraja la Mkapa!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]
Nipo kaka.. Kolonya ilinitembelea kiaina ila sasa niko byiee kabisaWakuu habari za usiku?
Huyu member wa JF alizoeleka sana kuandika thread za kutisha tisha, lakini siku hizi yupo kimya sana sijui ni kwanini.
Je, ni Corona? Nimemiss thread zako za vitisho na vimbwanga. Kama upo humu basi njoo tuendeleze mijadala.
Nawapenda wana JF wote.
Pole sana mkuu,JF tumekumiss sana mkuu.Nipo kaka.. Kolonya ilinitembelea kiaina ila sasa niko byiee kabisa
Jr[emoji769]
Niko fit sasa kaka [emoji120][emoji120][emoji120][emoji123][emoji123][emoji123][emoji109][emoji109][emoji109]Pole sana mkuu,JF tumekumiss sana mkuu.
Afadhari mkuu,Karibu sana,tupe mada zako zile za kutisha.Niko fit sasa kaka [emoji120][emoji120][emoji120][emoji123][emoji123][emoji123][emoji109][emoji109][emoji109]
Jr[emoji769]
Leo ni happy birthday to me.. Ngoja nikule birthday kwanza kisha tutaendeleaAfadhari mkuu,Karibu sana,tupe mada zako zile za kutisha.
Happy birthday bro.Mshana.Hongera sana mkuu,Cheers.Leo ni happy birthday to me.. Ngoja nikule birthday kwanza kisha tutaendelea
Jr[emoji769]
[emoji123][emoji123][emoji123][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji120][emoji120][emoji120]Happy birthday bro.Mshana.Hongera sana mkuu,Cheers.
Sir Ngoma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kaka kesho kwa Mfipa utafika?
Jr[emoji769]
Nimecheka SanaMshana Jr ameokoka ameachana na nguvu za giza nisikivyo [emoji23]
Boss unauzoefu na dawa za hsptl nkuulize maana inbobo yako private[emoji123][emoji123][emoji123][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji120][emoji120][emoji120]
Jr[emoji769]
Sio kivile lakini karibuBoss unauzoefu na dawa za hsptl nkuulize maana inbobo yako private
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app