Mshana Jr umempeleka wapi Demiss (Chamdeko wetu)

Watu wanajilia maini yao ndani kwa ndani....
Ila huyu Mshana Jr. Ana bahat sana nahis kaapply ndumba zake coz mtoto yule keshachomoa zaidi Mara 5 kwa mnyamwez
 
Weee mim dada yake tafadhali wifii acha na mimi nile
Kula kwa kipimo wifi yangu, hayo mambo ya kutaka chips kuku hali ya kuwa familia yake tunapambana na ugali mbogamboga huo sio uungwana. Pia angalia kipato cha nduguyo angalau ungesema chips mayai kidogo ningekuelewa.
Ndugu wa mume muwe mnajitahidi kutuinua na sio kutudidimiza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…