Mshana Jr umempeleka wapi Demiss (Chamdeko wetu)

Mshana Jr umempeleka wapi Demiss (Chamdeko wetu)

Kula kwa kipimo wifi yangu, hayo mambo ya kutaka chips kuku hali ya kuwa familia yake tunapambana na ugali mbogamboga huo sio uungwana. Pia angalia kipato cha nduguyo angalau ungesema chips mayai kidogo ningekuelewa.
Ndugu wa mume muwe mnajitahidi kutuinua na sio kutudidimiza.
Mi ndugu yake acha nile tu we umekula vingi mi mara moja moja inakuuma,wakati tupo wadogo akipigwa namsaidia ulikuwepoo,nna haki zote mimi acha wivuu Ney
 
Kula kwa kipimo wifi yangu, hayo mambo ya kutaka chips kuku hali ya kuwa familia yake tunapambana na ugali mbogamboga huo sio uungwana. Pia angalia kipato cha nduguyo angalau ungesema chips mayai kidogo ningekuelewa.
Ndugu wa mume muwe mnajitahidi kutuinua na sio kutudidimiza.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Mpenzi ndugu zangu itabidi tuwafunge speed gavana
 
Back
Top Bottom