Mshana jr vs the boss ndo wagombea rasmi wa urais jf

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Baada ya mchujo wa wagombea wengi hatimaye tumepata wagombea urais wawili watakaosimama kutetea nafasi ya urais jf
Hivyo bhas tarehe ya kura itakua ni tarehe 31 december
Na urais utadumu kwa mwaka na rais akishinda ataruhusiwa kumteua makamu wake wa rais
Lengo na kazi ya rais wa jamiiforum ni kuleta umoja na mshikamano na kuifanya jamiiforums ingare zaidi
Lengo la kuwa pamoja ni kuondoa mizizi ya ukabila, udini, uvyama, ukanda, rangi, na kuwaleta wana jf kuwa kitu kimoja
Long live jamiiforums
 
Sawa mkuu
 
Daaa ina maana hamna ke mgombea,,,,, why? [emoji26] [emoji26]
 
Kuna harufu ya wizi wa kura hapa japo matumaini yangu yapo kwa THE BOSS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…