Anaitwa Salim Jecha mwenyekiti wa commission ya uchaguzi Zanzibar, aliwai futa matokeo ya uchaguzi ambao ilisemekana (pengine kweli) kuwa Maalim Seif alishinda ule uchaguzi, ila zikapita figisu figisu finally Shein akashinda kwa nguvu ya dola. (Uchaguzi wa marudio)Jecha ndio nini?
UwiiiiiiMshana Jr usimsikilize huyu[emoji23][emoji23][emoji23]
Njopino na troublemaker naombeni kura mbili za haraka haraka hapa kwa cute b [emoji23][emoji23][emoji23]
Well done my boy. Angalia watakuja wasiojulikana, ila sasa watajua kuwa tunajua. Usisahau fridge isibaki empty nipo njiani natoka porini. Mwendo mkali. Huyo ndo mdogo wangu ila kapiga picha amenuna he is so handsome halafu ni black beauty.
Nimeamini kweli ni wewe[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1101416
Nimesoma nikashtuka ila mwishoni nikafurahi maana umempigia na JoanahHahaha wewe kura yangu kwako..weka picha tafadhali na joanah kura yangu pia aweke picha hahahaha
Haiwezekanii, ngoja tuone.Huu ushindi wako my dear
Andaa picha hiyo [emoji28]
Sura za pombe utazijua tu.View attachment 1101318
Join me to break the taboo of showing our true self.. You never know about tomorrow... Meet me while you're aware the face you are going to meet (face not heart[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23])
Mkuu naona Jua linazama kwako,una wajukuu wangapi?[emoji23][emoji23][emoji23]
Karibu, but I'm still waiting sijui munaifanyia Photoshoping hata sielewi, munakwama wapiππ
Asanteee kwa kura yako
Karibu, but I'm still waiting sijui munaifanyia Photoshoping hata sielewi, munakwama wapi
Abee dear umeniita ππ