Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Umenishinda tabia we mtoto.Sijui kwanini mtu ukiachana naye ndiyo anaanza kunoga.
Mshana namba yako ni ile ile ? Au ulishabadilisha?
Nami nina wasiwasi ila namwamini. Hana mambo ya siasa ila huwa anaongea anachofikiria. Hana chama kwanza yeye kama mimi ila anapenda kusema ukweli. Tatizo humu ukienda kinyume unaitwa Bavicha. Sasa Mshana jr. wajue ameshavuka hata hiyo bavicha yao na mimi ni dada yake na tunapoongea yawezekana sisi ni NCCR Mageuzi lakini kila mtu humu ni Bavicha.ππ½ππ½ππ½ππ½ππ½ππ½ππ½ππ½Namshangaa sana Mshana Jr kuamua kufanya hivi hasa ukitilia maanani kishatumiwa vitisho vya maisha yake kuhusiana na anayoyaandika humu. Na kuna uzi aliuanzisha humu kuhusiana na vitisho husika.
Kaamua kuwarahisishia kazi βwasiojulikanaβ
@Mshana jrUnavutia!!!
Unashukuru kwa1.shikamoo
2.nashukuru
Ameshaona π π π π π π π@Mshana jr
Ameshaona [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] π
Umeona eee.....ila nimesifia tuHahahaha hizi bahati zinazopitia pembeni
Nitajidhirisha siku moja kidume wa Afrika asieyumbishwa na vitu vidogoUmeona eee.....ila nimesifia tu
Nikutumie yangu Pm na mimi unisifie..Umeona eee.....ila nimesifia tu
Tuma tu π π π πNikutumie yangu Pm na mimi unisifie..
HahhhahahaHii sura haiendani kabisa na maswala ya kilozi
Itabidi na wewe unitumie nikusifue na kuutukuza uumbaji wa Mungu.ππTuma tu π π π π