Kha! Hicho kilinge kinashughulika na nini in deeply..?[emoji15][emoji15][emoji15][emoji119]mimi sio usalama lakini pia siku hizi watu wanavaa vinyago laini mno mtu kuweza kugundua kuwa hiyo sio sura halisi
Mimi nafanya kazi ya kuhudumia maiti... Ila lwasasa nimestaafu na kuamua kuwekeza kwenye elimu ya giza na nina kilinge Msata
🙄🙄.. Nini faida ya weweMambo ya kiroho na ya gizani... Pamoja na kitu kinaitwa forbidden education...
Nini faida yake..? Na kupitia elimu hiyo ya Giza unaisaidiaje jamii..?Mambo ya kiroho na ya gizani... Pamoja na kitu kinaitwa forbidden education...
Faida ni nyingi sana.. Kupitia elimu husika nimekuwa hivi nilivyo leo na nimekuwa msaada mkubwa kwa jamii hasa kuwafunulia na kuwaelimisha kuhusiana na haya mambo.... Members wa JF wanaweza kuwa shahidi kwenye hili[emoji849][emoji849].. Nini faida ya wewe
Nini faida yake..? Na kupitia elimu hiyo ya Giza unaisaidiaje jamii..?
Duh! Jambo gani la ajabu lilishawahi kukutokea ambalo linahusu nguvu za Giza...?Faida ni nyingi sana.. Kupitia elimu husika nimekuwa hivi nilivyo leo na nimekuwa msaada mkubwa kwa jamii hasa kuwafunulia na kuwaelimisha kuhusiana na haya mambo.... Members wa JF wanaweza kuwa shahidi kwenye hili
Yapo nitasimulia kwenye post kamili... Mengine yanatisha sanaDuh! Jambo gani la ajabu lilishawahi kukutokea ambalo linahusu nguvu za Giza...?
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji119]mimi sio usalama lakini pia siku hizi watu wanavaa vinyago laini mno mtu kuweza kugundua kuwa hiyo sio sura halisi
Mimi nafanya kazi ya kuhudumia maiti... Ila lwasasa nimestaafu na kuamua kuwekeza kwenye elimu ya giza na nina kilinge Msata
If its real you then am enticed to believe that you are among the unknownNi mimi na hii pia ni mimiJay-Z [emoji15][emoji44][emoji30][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1341695
Jr[emoji769]
Duh kumbe jamaa namfahamu!!! hiyo miwani na stori zako nyingi za kichawi haviendani na sura yako!!! Unaonekana ni kama hata hujawahi kuvuta kitu cha Arusha he he.View attachment 1101318
Join me to break the taboo of showing our true self.. You never know about tomorrow... Meet me while you're aware the face you are going to meet (face not heart[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23])
Duh hii kali!!!