Mshana Jr...without sunglasses

Sikutaji mdogo wangu, sitaki kabisa uongeze msululu PM!

Ulio nao unakutosha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamani nimechekaaaaaaaaaaa.
Kwahiyo huu msusruru unatosha siyo?
 
Hata nyumbani unaweza tumia sikuhizi bana matumizi tu, halafu unanitisha hiz picha unaweka huku usije ukawa ndio unaaga hivyo. Utubu mapemaa tukukute mbinguni,
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji23]dada unanifahamu vema nitatwaliwa kwa utimilifu wa nyakati sina mawaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamani nimechekaaaaaaaaaaa.
Kwahiyo huu msusruru unatosha siyo?

Hangaika na huo huo tu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu unaonekana kama unataka kulia hivi [emoji16][emoji16][emoji16]
Bora uvae miwani tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…