Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamani nimechekaaaaaaaaaaa.Sikutaji mdogo wangu, sitaki kabisa uongeze msululu PM!
Ulio nao unakutosha.
Unaisi atanitumia ile ya naked truth, lakini hii ni end-to-end encryption. Kaa kwa kutulia mkuu.
Wee naee unaharibu mood 😂😂
Mtaje bhana
Unaisi atanitumia ile ya naked truth, lakini hii ni end-to-end encryption. Kaa kwa kutulia mkuu.
Huyo hata akishinda nitakata rufaa.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji23]dada unanifahamu vema nitatwaliwa kwa utimilifu wa nyakati sina mawaaHata nyumbani unaweza tumia sikuhizi bana matumizi tu, halafu unanitisha hiz picha unaweka huku usije ukawa ndio unaaga hivyo. Utubu mapemaa tukukute mbinguni,
Kaa ukijua wewe ndiyo unaongoza kwa kura mpaka sasa[emoji23][emoji23]jiandae kuweka picha.Don Clericuzio usiharibu kura yako...hebu mtaje basi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamani nimechekaaaaaaaaaaa.
Kwahiyo huu msusruru unatosha siyo?
Mkuu unaonekana kama unataka kulia hivi [emoji16][emoji16][emoji16]
Bora uvae miwani tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji23]dada unanifahamu vema nitatwaliwa kwa utimilifu wa nyakati sina mawaa
[/QUOTE
Amen na iwe hivyo
Kaa ukijua wewe ndiyo unaongoza kwa kura mpaka sasa[emoji23][emoji23]jiandae kuweka picha.
Sawa Jecha katika ubora wako.😎😎😎😎
Ila sio mbaya mimi ndio nahesabu kura so nampa ushindi hata asiposhinda😂😂
Mshana huyu mbona kama hafanani na wa kwenye avatar??.View attachment 1101318
Join me to break the taboo of showing our true self.. You never know about tomorrow... Meet me while you're aware the face you are going to meet (face not heart[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23])
Amen na iwe hivyo[emoji120][emoji120][emoji120][emoji23]dada unanifahamu vema nitatwaliwa kwa utimilifu wa nyakati sina mawaa
Mh...!Hawezi kukutumia hiyo, hata hii aliyonitumia ninaifanyia edits kwanza ndiyo tukutumie.