Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
K Matata, unaweza ukasahau jina lako, haha hahah Wanyamwezi watamu sana. K MatataNilitaka kusema waaaoooo Bujiiii heeeeh!!
Kumbe Buji ni photographer na hao ni wateja waliomsumbua location za kupiga picha halafu hawataki kulipia na kuchukua picha zao.
Matata K.
Miss you too babaa[emoji6].Majukum ya ndoa yamenikaba[emoji41]
Umetubambika[emoji23][emoji23][emoji23]Siku ya miaka 50 ya ndoa yangu na bibi yenu na@Sky Eclat
View attachment 1196678
Hongera kwa kufanya maamuzi magumu. Kizuri mtu hula na nduguye
View attachment 1196683
Ilijibu mapema? [emoji848][emoji123][emoji109][emoji115][emoji120][emoji101]
Na viatu vyake je?
View attachment 1196693
Sante Babu,ila mie ndoa yangu ni ya mke na mme mmoja tu.Mitara hapana nitakufwa na wivu.
Aahahahahahahaaa Babuuu, hiyo inaitwa unapata utamu huku unateketea eeheheheheheee.
[emoji23][emoji23][emoji23]haya maneno ya khanga babu hata hayana uhalisia,wacha kunirusha roho mie.