Mshana Jr...without sunglasses

Mshana Jr...without sunglasses

Mganga gani upo smart hivi? Unakosea masharti ujue Mshana
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23]kumbe nimepost huku! Guiness za beach hizi.. [emoji23][emoji23][emoji23]
1569086958768.jpeg
 
Sijui nakufananisha?,hii sura kama ni ya mganga fulani aliwahi nisaidia kumroga mtu fulani humu awe juha,masharti yake alisema nitampa pesa baada ya matokeo ambayo nimeshayaona
 
Sijui nakufananisha?,hii sura kama ni ya mganga fulani aliwahi nisaidia kumroga mtu fulani humu awe juha,masharti yake alisema nitampa pesa baada ya matokeo ambayo nimeshayaona
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji23][emoji23][emoji848]
 
Mkuu unaonekana kama unataka kulia hivi [emoji16][emoji16][emoji16]
Bora uvae miwani tu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
Hahaha....!

Macho mlegezo
 
Okay lkn ndugu unapata wapi ujasili wa kuweka picha yako humu au nawe ni usalama..?
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji119]mimi sio usalama lakini pia siku hizi watu wanavaa vinyago laini mno mtu kuweza kugundua kuwa hiyo sio sura halisi
Mimi nafanya kazi ya kuhudumia maiti... Ila lwasasa nimestaafu na kuamua kuwekeza kwenye elimu ya giza na nina kilinge Msata
 
Back
Top Bottom