Hapana mkuu, hatupo sawa. Wewe una oppose swali la dini, mimi nali support.
Exactly why hatupo sawa, this is a big distincion. Do not relegate it as a mere "but". This is the core question of the thread!
I can't quite understand this "Guilty until proven innocent" attitude.
Umeona mfano wangu wa juu hapo? Kwa nini serikali isipige marufuku kuendesha magari kwa sababu kuna ajali? This is a retrogressive argument.
Kama kuna watu watataka kutumia hizi data kwa ajili ya privilege, wakatalieni, wafanyieni expose, washughulikieni.
Kwa nini mnatega mtego wa panya unaokamata waliokusudiwa na wasiokusudiwa? Kwa nini mnawanyima academicians na researchers data muhimu kwa woga wa serikali kuogopa kivuli chake yenyewe?
Of course nothing resolves nothing automatically, it is against the laws of physics.
Ila, census data zitasaidia sana kupata a somewhat more reliable starting point ambayo hatuwezi kupiata sehemu yoyote nyingine in a manner that will even approach this level of fundamental comprehensive scope.
Tupo sawa mkuu ata naweza ongezea kuwa in the absence of any official data, various ethno-religious groups have made their own estimates and this practice is also to counter estimates from other practioners, refer the heading of the subject. The exercise has sometimes confused the religious picture of the tanzania population. Also in the presence of religion data, the students, scholars, media pundits (TBC) and policy makers would have some reliable numbers to report and offer informed critical analysis of Tanzanian's behaviors in the social, economic and political fields. But in the other hand religious groups will use it to lobby for their own institutions and promote greater separateness in our already vibrant and dangerously society.