ππππAskari wa Kenya wakimbia mvua baaada ya Rais Samia kumaliza kuhutubia bunge. Askari hao walikimbia na kwenda kujificha kwenye baraza la bunge.
Hilo ni tukio la ajabu kwa askari kuogopa kulowana na mvua. Picha ya juu ni askari wakiwa wamejipanga kabla ya mvua na picha ya pili ni baada ya wao kukimbia na eneo kubaki tupu.
View attachment 1774336
View attachment 1774332
Hawa Askari wa kupiga band ndo unatufungulia mada jameni!? Hao walipiga band na wakamaliza kazi yao ulitaka waendelee kupigia band samaki?Askari wa Kenya wakimbia mvua baaada ya Rais Samia kumaliza kuhutubia bunge. Askari hao walikimbia na kwenda kujificha kwenye baraza la bunge.
Hilo ni tukio la ajabu kwa askari kuogopa kulowana na mvua. Picha ya juu ni askari wakiwa wamejipanga kabla ya mvua na picha ya pili ni baada ya wao kukimbia na eneo kubaki tupu.
View attachment 1774336
View attachment 1774332