Hata huku yanakuja ila sio kwa bunge hili la vibungo
Refer #19 utapata maana yake!Tafsiri ya "Vibungo" mkuu
Refer #19 utapata maana yake!
Raila anataka 'mkate' tu, ila anavuruga nchi.Siasa ya Kenya imeingia dosari kubwa sana, hali Kenya sio shwari kabisa.
Leo hii spika amefika ndani ya jengo la Bunge nakujikuta pekee yake hakuna mbunge aliyehudhuria.
Aisee!Siasa ya Kenya imeingia dosari kubwa sana, hali Kenya sio shwari kabisa.
Leo hii spika amefika ndani ya jengo la Bunge nakujikuta pekee yake hakuna mbunge aliyehudhuria.