Mshauri huyu mdau, Jee hii Biashara anayofanya inafaida, Hasara au imebalance?

Mshauri huyu mdau, Jee hii Biashara anayofanya inafaida, Hasara au imebalance?

JourneyMan

Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
42
Reaction score
50
Sitaki kusema ni mimi au laaa..ila ni issue ya kweli..

Ipo hivi
Mhusika kabla ya mkopo alikua anaweza kusave 400k kwa mwezi kutoka kwenye Salary,

Akaona hio 400k inayozidi aikopee bank, riba Mil 3, afungue biashara, pengine atapata zaidi.
Akachukua mkopo wa miaka 3, makato ni laki 4 na senti kadhaa..

Kwenye hio biashara baada ya matumizi yote faida inacheza kati ya 350k-400k kwa mwezi, kwa wastani 380k.

Halafu ndio anayoisave kwa sasa.
Namaanisha mwanzo kutoka kwenye salary alikua na uhakika wa ku save 400k

Asaivi kutoka kwenye faida ya biashara ana save 350k - 400k, kwa wastani tuseme ni 380k.

NOTE : Hio saving ni LAZIMA, kuna jambo anataka kufanya.

SWALI, Jee hii biashara kwa alipotoka, alipo sasa na malengo yake ina faida au laa?

Kuna mvutano, mwingine anamuambia aache, mwingine anamwambia endelea.
 
Kama hio biasha itakufa kabla ya mkopo kuisha = HASARA
Kama hio biashara itakufa baada tu ya kumaliza mkopo = IMEBALANCE
Kama Biashara itaendelea kuwepo baada ya mkopo kuisha = FAIDA.

Kwani si ni simple logic tuu,
Baada ya miaka 3,
Ana Save 400k kutoka kwenye Salary
Ana Save 380k kutoka kwenye Biashara
Ana Mtaji

Hata ikifa baada ya mkopo ana faida ya MTAJI, labda kama biashara ya bidhaa yaani haihitaji vifaa au huduma kama M-PESA, ile ikifa huna cha assets, labda banda, simu na vipeperushi.
 
Hiyo biashara inamlipa kwakuwa akimaliza mkopo atabaki na faida zifuatazo
assets zilizopo kwenye biashara kama vile bidhaa.
Uzoefu wa kujua kufanya biashara.
Uzoefu wa kujua ups and downs kwenye biashara.
Kuwa na uwezo wa kusimamia wafanyakazi kwenye biashara.
Kutanua network kama vile kufahamiana na watu wengi zaidi mfano wateja wake na suppliers.
Faida zipo lukuki kwa uchache ni hizo
 
Sitaki kusema ni mimi au laaa..ila ni issue ya kweli..

Ipo hivi
Mhusika kabla ya mkopo alikua anaweza kusave 400k kwa mwezi kutoka kwenye Salary,

Akaona hio 400k inayozidi aikopee bank, riba Mil 3, afungue biashara, pengine atapata zaidi.
Akachukua mkopo wa miaka 3, makato ni laki 4 na senti kadhaa..

Kwenye hio biashara baada ya matumizi yote faida inacheza kati ya 350k-400k kwa mwezi, kwa wastani 380k.

Halafu ndio anayoisave kwa sasa.
Namaanisha mwanzo kutoka kwenye salary alikua na uhakika wa ku save 400k

Asaivi kutoka kwenye faida ya biashara ana save 350k - 400k, kwa wastani tuseme ni 380k.

NOTE : Hio saving ni LAZIMA, kuna jambo anataka kufanya.

SWALI, Jee hii biashara kwa alipotoka, alipo sasa na malengo yake ina faida au laa?

Kuna mvutano, mwingine anamuambia aache, mwingine anamwambia endelea.
Ina faida kwake kama utaliwaza ki undani,
1.Baada ya miaka 3 atakua ameiva mwenye biashara( atakuja elewa faida ya msingi huu aki staafu)
2.Baada ya kumaliza mkopo atakua na saving (400,000) + Faida katika biashara(380,000/kwa anachopata leo)
3.Biashara inaleta uzoefu wa maadili ya pesa(ataiva sana katika matumizi na malengo)
4.Biashara inakua,baada ya miaka 3 kipato katika biashara kitakua maradufu( assume x2 or x 3).
5.Kama ulivyo quote "hiyo savings ni lazima",baada ya huo muda means anaweza kuwa na biashara ya pili kama hiyo hiyo,akapata ile faida ya biashara kwa wakati huo x 4
6.Kwa level za ajira za kibongo,hakuna utajiri kwa mshahara hata siku 1,mwajiri wako mwenyewe sio tajiri, je utamzidi?
 
mbona inamlipa hiyo, mshahara wake utamaliza mkopo tayari na faida ya biashara anayo, kumbuka akimaliza mkopo ataendelea kidevu hiyo 400k kwenye mshahara na 380k kwenye biashara ukijumlisha hapo ina kuwa 780k
 
Kama unafanya saving 380K kila mwezi maana yake upo hatua nzuri.

Within three years unasubiri mkopo utakuwa umejifunza mambo yafuatayo .

Experience katika business
Up and down
Exposure


Kitu ambacho unabidi kufikiria unabidi kuwaza kuwa na multiple streams of income

Mfano kufungua biashara nyingine au kuwekeza sehemu mbali mbali.

Don't quite
 
Back
Top Bottom