Mshauri mkuu wa Fedha, Uchumi na Uwekezaji na Mjumbe wa Kamati ndogo ya Ununuzi wa Jengo la HQ ya Chadema mikocheni Mh Mwaitenda kuongea na Waandishi

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
ACCA & CPA Abohokile Mwaitenda ambaye ameondolewa kwenye Cheo cha Mshauri mkuu wa Chadema wa Fedha, Uchumi na Uwekezaji na Katibu mkuu Mh John Mnyika Wiki ijayo ataongea na Waandishi wa Habari

Mwaitenda pia alikuwa ni Mjumbe wa kamati ndogo ya Uwekezaji iliyosimamia Ununuzi wa Jengo la Makao Makuu ya Chadema Mikocheni jijini DSM

Aidha ACCA&CPA Mwaitenda tarehe 20/01/2025 atakabidhi Ripoti Maalumu ya Utendaji Wake Katika kupitia Ripoti zote za CAG na Mikataba ya Fedha na Mali za Chama kuanzia 2019 mbele ya Mkutano mkuu wa Taifa ambao ndio utaamua kama arejeshwe kwenye Nafasi yake ya Ushauri ama la

Credit: Tanzania Leaks

Merry Christmas ๐ŸŒน๐Ÿ˜ƒ
 
Chadema hawataki kabisa watu wenye akili nyingi
Yaani mtu amefanya kazi miaka yote hayo bado mnataka aendelee tu kufanya kazi? Au watu mnafikiria alitakiwa afie kwenye hicho nafasi? Jamani kuna monitoring and evaluation....yeye ashukuru amekaa hapo miaka hizo zinatosha.
Mambo mengine ni coincidence tu lakini siyo kuunganishwa na matukio yanayoendelea ya uchaguzi.

Au unadhani alikuwa na mkataba wa maisha.
 
Leo tena kalalsmika eti mnyika kamleftisha kwenye group
 
Mbowe amekaa muda gani hapo CHADEMA kama mwenyekiti?
 
Kwani sikaandika barua ya kujihudhuru UJUMBE wakamati KUU sasa anataka nini tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ