Mshauri Wema Sepetu hapa

Mshauri Wema Sepetu hapa

lulu za uru

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2015
Posts
2,557
Reaction score
3,221
Ni ukweli usiopingika kwamba umaarufu wake ni kama haufi kweli tangu 2006 mpaka sasa kuwa juu sio mchezo, ana nyota nzuri sana

Tatizo naona kama Wema hajautumia ustar wake ukamletea utajiri bado kwakweli.

Hebu mshauri afanye nin hapa ili awe billionaire,mimi namwambia awekeze kwenye nyumba ajenge nyumba za kupangishia watu.

Tiririsha wazo lako.
 
hilo wazo zuri ila kwake ngumu kumeza kujenga ni simple sana bt showoff n mashabiki wake ndio tatizo
 
Ni ukwl usiopingika kwamba umaarufu wake ni kama haufi kwl tangu 2006 mpaka sasa kuwa juu c mchezo, ana nyota nzr Sana, tatizo naona kama Wema hajautumia ustar wake ukamletea utajiri bado kwakwel hebu mshauri afanye nin hapa ili awe billionaire .. mimi namwambia awekeze kwny nyumba..ajenge nyumba za kupangishia watu.. tiririsha wazo lako.
Mi namshauri apandishe dau la biashara yake.
 
Auze papuchi inalipa sana
 
Ajiangalie na aangalie picha zake za 2006, halafu ata amua mwenyewe hatima yake, inawezekana anadanganywa na k ambayo haiingalii mara kwa mara bali waitumiao, je sura nayo haitathmini?
 
Shining star.. Afu Wema cjui ni VIP ujue Ku maintain ustaa since 2006 adi Leo sio jambo la kitoto ki bongo bongo..!!
 
pesa anapata sana tatizo mpangilio mf. hizi kampen alizopiga walahi angejenga viapartment vyake viwil...cjui kwann haangalii miaka 2o mbele..
 
Jua lazama nae ujana wamwandama akubr kua umri umeenda now anapaswa kutuloa na kufanya maisha rasmi co movie
#mie pangu pakavu nakushauri#
 
Namshauri achukue hatua ya kupimwa akili kama yuko sawa...
 
ajenge nyumba? uzuri wake haumruhusu kujishughulisha na shughuli za maendeleo...
 
Back
Top Bottom