Mshaurini Diamond Platnumz awe mbunifu aache ku-copy

Mshaurini Diamond Platnumz awe mbunifu aache ku-copy

Robidinyo

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
4,043
Reaction score
8,686
Anatumia muda mwingi kuangalia kazi za wenzake ili apatemo cha ku-Copy. Msanii wenu kaishiwa mashairi sa hizi kachificha kwe vikolabo uchwara na Zuchu

Kwanini anawatelekeza Lavalava za Queen Darleen ataki kufanya nao Kolabo. Kiki ya Mimi Mars imebuma trendng za mademu zimeshamgomea anatapatapata tu

IMG_20200929_111729.jpg
IMG_20200929_112057.jpg
 
Tatzo lako jf unajulikana wewe diamondi ni mpinzani wako
 
Mkuu huna mdomo..? Si ukamshauri na wewe!
 
Diamond trending za YouTube zinamkosti..apumzike hata miezi 6..ila Mr Tembo anamtisha 🐘🐘🐘🐘
 
Ninachokukubali ww WCB unawafuatilia sana ni ngumu sana WCB wakifanya kitu wewe husipost ila sio mbaya umeongeza views.

Ila kuna mtu kakopi kutoka kwa Beyonce naona umekaa kimya,plus zile taa alizozipanga ktk triangle nazo kakopi ila kwa kuwa UNAMPENDA WW UNAONA SAWA.Mwenyewe anajiita GOAT........🤣🤣🤣🤣 na mbuzi wake kamvalisha Crown ya U-King.
 
Back
Top Bottom