Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe mbinuni swagga tuu
Hawa wa kwenye picha wanajua kuwa sura zao zipo JF?
Habari wandugu
Niseme tuu hii sikukuu kwa upande wangu imekaa vibaya sana mimi naishi Dar nina mwanamke Arusha na Moshi sasa nikawapanga wote tukulane hizi sikukuu wakakubali.
Jana nikafunga safari kutoka Dar nikaanza na wa Moshi den leo na kesho niwe na wa Arusha maana wa Arusha hatujawahi kusex wa Moshi tumeshakulana.
Jana nikamsetisha mtoto wa Moshi maana nilifika saa 8 mchana mtoto kaja mida ya jioni nikasema ngoja kwanza nile halafu ndio tuwende daah lilikua ndio kosa kubwa.
Tukaenda kula ile tukaribia kumaliza mwanamke wa Arusha akawa anapiga sana simu sipokei kumbe demu alikua anaona tuu demu akaendele kupiga daah ikabidi nipokee bana kosa la pili demu akanza kuni mind mbona sipoke simu niko na malaya zangu wee demu wangu akasikia maana aliniambia niweke loud speaker wee wakaanza kujibizana nikakata simu.
Demu wa Moshi ambaye nilikua nakula nae akaacha msosi akaondoka akaniacha simu hapokei na kasema mimi na wewe tusijuane wa Arusha nawe hivo hivo.
Kwa hapa nipo najaribu kumbembeleza mmoja ambaye atakaeleweka nikamzagamue akigoma basi kesho narudi Dar.
Wadau mniombee hata mmoja abadilishe mawazo nitaleta mrejesho hapa hapa maana nimetumia gharama na muda wangu daah.
Pole sana Muda mwingine unatakiwa kuomba ushauri kabla. Ili upewe muongozo hususani unapokuwa na wake zaidi ya wawili.
Kuna malegends wanajua namna ya kuwaendo na si kwenda pupa kama ulivyofanya[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe rudi Dar ujipange upya umeshapuyanga.
Temeke Sudan 🇸🇩 Maeneo Yangu Hayo Unapata Hit And Run Policy
We. Mbwa kwanini usiweke kindege(flight mode) ukiwa na hizo Malaya zako?Akili zako mbona hazichanganyi unatatizo gani mangiHabari wandugu
Niseme tuu hii sikukuu kwa upande wangu imekaa vibaya sana mimi naishi Dar nina mwanamke Arusha na Moshi sasa nikawapanga wote tukulane hizi sikukuu wakakubali.
Jana nikafunga safari kutoka Dar nikaanza na wa Moshi den leo na kesho niwe na wa Arusha maana wa Arusha hatujawahi kusex wa Moshi tumeshakulana.
Jana nikamsetisha mtoto wa Moshi maana nilifika saa 8 mchana mtoto kaja mida ya jioni nikasema ngoja kwanza nile halafu ndio tuwende daah lilikua ndio kosa kubwa.
Tukaenda kula ile tukaribia kumaliza mwanamke wa Arusha akawa anapiga sana simu sipokei kumbe demu alikua anaona tuu demu akaendele kupiga daah ikabidi nipokee bana kosa la pili demu akanza kuni mind mbona sipoke simu niko na malaya zangu wee demu wangu akasikia maana aliniambia niweke loud speaker wee wakaanza kujibizana nikakata simu.
Demu wa Moshi ambaye nilikua nakula nae akaacha msosi akaondoka akaniacha simu hapokei na kasema mimi na wewe tusijuane wa Arusha nawe hivo hivo.
Kwa hapa nipo najaribu kumbembeleza mmoja ambaye atakaeleweka nikamzagamue akigoma basi kesho narudi Dar.
Wadau mniombee hata mmoja abadilishe mawazo nitaleta mrejesho hapa hapa maana nimetumia gharama na muda wangu daah.
Mimi nakuombea kwa Mungu.Habari wandugu
Niseme tuu hii sikukuu kwa upande wangu imekaa vibaya sana mimi naishi Dar nina mwanamke Arusha na Moshi sasa nikawapanga wote tukulane hizi sikukuu wakakubali.
Jana nikafunga safari kutoka Dar nikaanza na wa Moshi den leo na kesho niwe na wa Arusha maana wa Arusha hatujawahi kusex wa Moshi tumeshakulana.
Jana nikamsetisha mtoto wa Moshi maana nilifika saa 8 mchana mtoto kaja mida ya jioni nikasema ngoja kwanza nile halafu ndio tuwende daah lilikua ndio kosa kubwa.
Tukaenda kula ile tukaribia kumaliza mwanamke wa Arusha akawa anapiga sana simu sipokei kumbe demu alikua anaona tuu demu akaendele kupiga daah ikabidi nipokee bana kosa la pili demu akanza kuni mind mbona sipoke simu niko na malaya zangu wee demu wangu akasikia maana aliniambia niweke loud speaker wee wakaanza kujibizana nikakata simu.
Demu wa Moshi ambaye nilikua nakula nae akaacha msosi akaondoka akaniacha simu hapokei na kasema mimi na wewe tusijuane wa Arusha nawe hivo hivo.
Kwa hapa nipo najaribu kumbembeleza mmoja ambaye atakaeleweka nikamzagamue akigoma basi kesho narudi Dar.
Wadau mniombee hata mmoja abadilishe mawazo nitaleta mrejesho hapa hapa maana nimetumia gharama na muda wangu daah.
Tukuombee kwa nani?kwa shetani au hao mademu zako?Habari wandugu
Niseme tuu hii sikukuu kwa upande wangu imekaa vibaya sana mimi naishi Dar nina mwanamke Arusha na Moshi sasa nikawapanga wote tukulane hizi sikukuu wakakubali.
Jana nikafunga safari kutoka Dar nikaanza na wa Moshi den leo na kesho niwe na wa Arusha maana wa Arusha hatujawahi kusex wa Moshi tumeshakulana.
Jana nikamsetisha mtoto wa Moshi maana nilifika saa 8 mchana mtoto kaja mida ya jioni nikasema ngoja kwanza nile halafu ndio tuwende daah lilikua ndio kosa kubwa.
Tukaenda kula ile tukaribia kumaliza mwanamke wa Arusha akawa anapiga sana simu sipokei kumbe demu alikua anaona tuu demu akaendele kupiga daah ikabidi nipokee bana kosa la pili demu akanza kuni mind mbona sipoke simu niko na malaya zangu wee demu wangu akasikia maana aliniambia niweke loud speaker wee wakaanza kujibizana nikakata simu.
Demu wa Moshi ambaye nilikua nakula nae akaacha msosi akaondoka akaniacha simu hapokei na kasema mimi na wewe tusijuane wa Arusha nawe hivo hivo.
Kwa hapa nipo najaribu kumbembeleza mmoja ambaye atakaeleweka nikamzagamue akigoma basi kesho narudi Dar.
Wadau mniombee hata mmoja abadilishe mawazo nitaleta mrejesho hapa hapa maana nimetumia gharama na muda wangu daah.
Habari wandugu
Niseme tuu hii sikukuu kwa upande wangu imekaa vibaya sana mimi naishi Dar nina mwanamke Arusha na Moshi sasa nikawapanga wote tukulane hizi sikukuu wakakubali.
Jana nikafunga safari kutoka Dar nikaanza na wa Moshi den leo na kesho niwe na wa Arusha maana wa Arusha hatujawahi kusex wa Moshi tumeshakulana.
Jana nikamsetisha mtoto wa Moshi maana nilifika saa 8 mchana mtoto kaja mida ya jioni nikasema ngoja kwanza nile halafu ndio tuwende daah lilikua ndio kosa kubwa.
Tukaenda kula ile tukaribia kumaliza mwanamke wa Arusha akawa anapiga sana simu sipokei kumbe demu alikua anaona tuu demu akaendele kupiga daah ikabidi nipokee bana kosa la pili demu akanza kuni mind mbona sipoke simu niko na malaya zangu wee demu wangu akasikia maana aliniambia niweke loud speaker wee wakaanza kujibizana nikakata simu.
Demu wa Moshi ambaye nilikua nakula nae akaacha msosi akaondoka akaniacha simu hapokei na kasema mimi na wewe tusijuane wa Arusha nawe hivo hivo.
Kwa hapa nipo najaribu kumbembeleza mmoja ambaye atakaeleweka nikamzagamue akigoma basi kesho narudi Dar.
Wadau mniombee hata mmoja abadilishe mawazo nitaleta mrejesho hapa hapa maana nimetumia gharama na muda wangu daah.
Aiseee comment yako ni ya mwaka eti keshapuyanga arudi shule afundishwe, yaani dar haija msaidia japo kaishi dar afu anafeli mkoani. 😄😄😄Pole sana Muda mwingine unatakiwa kuomba ushauri kabla. Ili upewe muongozo hususani unapokuwa na wake zaidi ya wawili.
Kuna malegends wanajua namna ya kuwaendo na si kwenda pupa kama ulivyofanya[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe rudi Dar ujipange upya umeshapuyanga.
Flight mode,duuu wewe ni mjedaWatoto wa kiume wa Dar ndio mlivyo, unakwamaje kuweka ✈ mnatutiaga aibu sana nyie watoto 😡😡😡
Hahahahah dogo mshamba sana huyo manka angevunja tu na simu yenyewe.Unajua kuna features kama vibration, silence na Airplane mode kwenye simu. Kosa lako la kwanza ni kutokumia moja kati ya hizo.
Kosa la pili ni kuweka simu yako ionekane ukiwa na mwanamke wako. Simu siku zote inakaa mfukoni.
Kosa la 3 na kubwa zaidi ni kushurtishwa kupokea na kuweka simu loudspeaker na mwanamke na wewe kama mwanasesere ukakubali. Umeonyesha udhaifu mkubwa.
Kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja sio fani yako mkuu, tafuta mmoja utulie nae.