Mshika mawili moja humponyoka yamenikuta

Mshika mawili moja humponyoka yamenikuta

Habari wandugu

Niseme tuu hii sikukuu kwa upande wangu imekaa vibaya sana mimi naishi Dar nina mwanamke Arusha na Moshi sasa nikawapanga wote tukulane hizi sikukuu wakakubali.

Jana nikafunga safari kutoka Dar nikaanza na wa Moshi den leo na kesho niwe na wa Arusha maana wa Arusha hatujawahi kusex wa Moshi tumeshakulana.

Jana nikamsetisha mtoto wa Moshi maana nilifika saa 8 mchana mtoto kaja mida ya jioni nikasema ngoja kwanza nile halafu ndio tuwende daah lilikua ndio kosa kubwa.

Tukaenda kula ile tukaribia kumaliza mwanamke wa Arusha akawa anapiga sana simu sipokei kumbe demu alikua anaona tuu demu akaendele kupiga daah ikabidi nipokee bana kosa la pili demu akanza kuni mind mbona sipoke simu niko na malaya zangu wee demu wangu akasikia maana aliniambia niweke loud speaker wee wakaanza kujibizana nikakata simu.

Demu wa Moshi ambaye nilikua nakula nae akaacha msosi akaondoka akaniacha simu hapokei na kasema mimi na wewe tusijuane wa Arusha nawe hivo hivo.

Kwa hapa nipo najaribu kumbembeleza mmoja ambaye atakaeleweka nikamzagamue akigoma basi kesho narudi Dar.

Wadau mniombee hata mmoja abadilishe mawazo nitaleta mrejesho hapa hapa maana nimetumia gharama na muda wangu daah.

Pole sana Muda mwingine unatakiwa kuomba ushauri kabla. Ili upewe muongozo hususani unapokuwa na wake zaidi ya wawili.

Kuna malegends wanajua namna ya kuwaendo na si kwenda pupa kama ulivyofanya[emoji23][emoji23][emoji23]

Wewe rudi Dar ujipange upya umeshapuyanga.
 
Pole sana Muda mwingine unatakiwa kuomba ushauri kabla. Ili upewe muongozo hususani unapokuwa na wake zaidi ya wawili.

Kuna malegends wanajua namna ya kuwaendo na si kwenda pupa kama ulivyofanya[emoji23][emoji23][emoji23]

Wewe rudi Dar ujipange upya umeshapuyanga.

ndio nimekataliwa bana
 
🧏🏻‍♂️🧏🏻‍♂️🧏🏻‍♂️🧏🏻‍♂️🧏🏻‍♂️🧏🏻‍♂️🧏🏻‍♂️🧏🏻‍♂️
 
Niko hapa mitaa ya kcmc mkuu hebu leta namba nikuombee msamaha
 
Habari wandugu

Niseme tuu hii sikukuu kwa upande wangu imekaa vibaya sana mimi naishi Dar nina mwanamke Arusha na Moshi sasa nikawapanga wote tukulane hizi sikukuu wakakubali.

Jana nikafunga safari kutoka Dar nikaanza na wa Moshi den leo na kesho niwe na wa Arusha maana wa Arusha hatujawahi kusex wa Moshi tumeshakulana.

Jana nikamsetisha mtoto wa Moshi maana nilifika saa 8 mchana mtoto kaja mida ya jioni nikasema ngoja kwanza nile halafu ndio tuwende daah lilikua ndio kosa kubwa.

Tukaenda kula ile tukaribia kumaliza mwanamke wa Arusha akawa anapiga sana simu sipokei kumbe demu alikua anaona tuu demu akaendele kupiga daah ikabidi nipokee bana kosa la pili demu akanza kuni mind mbona sipoke simu niko na malaya zangu wee demu wangu akasikia maana aliniambia niweke loud speaker wee wakaanza kujibizana nikakata simu.

Demu wa Moshi ambaye nilikua nakula nae akaacha msosi akaondoka akaniacha simu hapokei na kasema mimi na wewe tusijuane wa Arusha nawe hivo hivo.

Kwa hapa nipo najaribu kumbembeleza mmoja ambaye atakaeleweka nikamzagamue akigoma basi kesho narudi Dar.

Wadau mniombee hata mmoja abadilishe mawazo nitaleta mrejesho hapa hapa maana nimetumia gharama na muda wangu daah.
We. Mbwa kwanini usiweke kindege(flight mode) ukiwa na hizo Malaya zako?Akili zako mbona hazichanganyi unatatizo gani mangi
 
Habari wandugu

Niseme tuu hii sikukuu kwa upande wangu imekaa vibaya sana mimi naishi Dar nina mwanamke Arusha na Moshi sasa nikawapanga wote tukulane hizi sikukuu wakakubali.

Jana nikafunga safari kutoka Dar nikaanza na wa Moshi den leo na kesho niwe na wa Arusha maana wa Arusha hatujawahi kusex wa Moshi tumeshakulana.

Jana nikamsetisha mtoto wa Moshi maana nilifika saa 8 mchana mtoto kaja mida ya jioni nikasema ngoja kwanza nile halafu ndio tuwende daah lilikua ndio kosa kubwa.

Tukaenda kula ile tukaribia kumaliza mwanamke wa Arusha akawa anapiga sana simu sipokei kumbe demu alikua anaona tuu demu akaendele kupiga daah ikabidi nipokee bana kosa la pili demu akanza kuni mind mbona sipoke simu niko na malaya zangu wee demu wangu akasikia maana aliniambia niweke loud speaker wee wakaanza kujibizana nikakata simu.

Demu wa Moshi ambaye nilikua nakula nae akaacha msosi akaondoka akaniacha simu hapokei na kasema mimi na wewe tusijuane wa Arusha nawe hivo hivo.

Kwa hapa nipo najaribu kumbembeleza mmoja ambaye atakaeleweka nikamzagamue akigoma basi kesho narudi Dar.

Wadau mniombee hata mmoja abadilishe mawazo nitaleta mrejesho hapa hapa maana nimetumia gharama na muda wangu daah.
Mimi nakuombea kwa Mungu.
Mungu muepushe huyu mtu na dhambi ya zinaa ktk maisha yako yote, kama ulivyomuepusha wakati uliopita.
Eemen.
 
Habari wandugu

Niseme tuu hii sikukuu kwa upande wangu imekaa vibaya sana mimi naishi Dar nina mwanamke Arusha na Moshi sasa nikawapanga wote tukulane hizi sikukuu wakakubali.

Jana nikafunga safari kutoka Dar nikaanza na wa Moshi den leo na kesho niwe na wa Arusha maana wa Arusha hatujawahi kusex wa Moshi tumeshakulana.

Jana nikamsetisha mtoto wa Moshi maana nilifika saa 8 mchana mtoto kaja mida ya jioni nikasema ngoja kwanza nile halafu ndio tuwende daah lilikua ndio kosa kubwa.

Tukaenda kula ile tukaribia kumaliza mwanamke wa Arusha akawa anapiga sana simu sipokei kumbe demu alikua anaona tuu demu akaendele kupiga daah ikabidi nipokee bana kosa la pili demu akanza kuni mind mbona sipoke simu niko na malaya zangu wee demu wangu akasikia maana aliniambia niweke loud speaker wee wakaanza kujibizana nikakata simu.

Demu wa Moshi ambaye nilikua nakula nae akaacha msosi akaondoka akaniacha simu hapokei na kasema mimi na wewe tusijuane wa Arusha nawe hivo hivo.

Kwa hapa nipo najaribu kumbembeleza mmoja ambaye atakaeleweka nikamzagamue akigoma basi kesho narudi Dar.

Wadau mniombee hata mmoja abadilishe mawazo nitaleta mrejesho hapa hapa maana nimetumia gharama na muda wangu daah.
Tukuombee kwa nani?kwa shetani au hao mademu zako?
 
Haraka sana rudi daslamu...umeepushwa na ukimwi,kupukutishwa hela zako zaid na stress pia!pitia hapo KKKT au kristo mfalme au msikiti wa riadha ushukuru Mungu,toa sadaka na sepa hata na fuso la nyanya.ova
 
Habari wandugu

Niseme tuu hii sikukuu kwa upande wangu imekaa vibaya sana mimi naishi Dar nina mwanamke Arusha na Moshi sasa nikawapanga wote tukulane hizi sikukuu wakakubali.

Jana nikafunga safari kutoka Dar nikaanza na wa Moshi den leo na kesho niwe na wa Arusha maana wa Arusha hatujawahi kusex wa Moshi tumeshakulana.

Jana nikamsetisha mtoto wa Moshi maana nilifika saa 8 mchana mtoto kaja mida ya jioni nikasema ngoja kwanza nile halafu ndio tuwende daah lilikua ndio kosa kubwa.

Tukaenda kula ile tukaribia kumaliza mwanamke wa Arusha akawa anapiga sana simu sipokei kumbe demu alikua anaona tuu demu akaendele kupiga daah ikabidi nipokee bana kosa la pili demu akanza kuni mind mbona sipoke simu niko na malaya zangu wee demu wangu akasikia maana aliniambia niweke loud speaker wee wakaanza kujibizana nikakata simu.

Demu wa Moshi ambaye nilikua nakula nae akaacha msosi akaondoka akaniacha simu hapokei na kasema mimi na wewe tusijuane wa Arusha nawe hivo hivo.

Kwa hapa nipo najaribu kumbembeleza mmoja ambaye atakaeleweka nikamzagamue akigoma basi kesho narudi Dar.

Wadau mniombee hata mmoja abadilishe mawazo nitaleta mrejesho hapa hapa maana nimetumia gharama na muda wangu daah.

Kufuru, laana hii, kweli unatumia kauli ya kutaka uombewe? Kufuru hii jaman
 
Aisee kabla ya kuwaomba msamaha hao wanawake zako kaombe msamaha kwa Mungu wako, tubu !
 
Pole sana Muda mwingine unatakiwa kuomba ushauri kabla. Ili upewe muongozo hususani unapokuwa na wake zaidi ya wawili.

Kuna malegends wanajua namna ya kuwaendo na si kwenda pupa kama ulivyofanya[emoji23][emoji23][emoji23]

Wewe rudi Dar ujipange upya umeshapuyanga.
Aiseee comment yako ni ya mwaka eti keshapuyanga arudi shule afundishwe, yaani dar haija msaidia japo kaishi dar afu anafeli mkoani. 😄😄😄
 
Unajua kuna features kama vibration, silence na Airplane mode kwenye simu. Kosa lako la kwanza ni kutokumia moja kati ya hizo.

Kosa la pili ni kuweka simu yako ionekane ukiwa na mwanamke wako. Simu siku zote inakaa mfukoni.

Kosa la 3 na kubwa zaidi ni kushurtishwa kupokea na kuweka simu loudspeaker na mwanamke na wewe kama mwanasesere ukakubali. Umeonyesha udhaifu mkubwa.

Kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja sio fani yako mkuu, tafuta mmoja utulie nae.
Hahahahah dogo mshamba sana huyo manka angevunja tu na simu yenyewe.
 
Back
Top Bottom