Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

Status
Not open for further replies.
Kila kitu ni uvumilivu. Hata biko wanaoshinda ni wale wavumilivu hadi mwisho wa safari.
 
Unataka kutuambia Bank kuu huwa wanatrade?
Yale mahati fungate huwa wanayatoa ya nini sasa?
Mnawaambukiza watu ugoro wakiibiwa mpate kamisheni!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] pale wanapoambiwa sell uroyuesidi alaf yenyewe inapanda kma drimulaina alaf unambiwa hold 2 to 4 days huku watu kamisheni zinaongezeka tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Broo
wewe ni chief agent wa forex hapa Jf ? Napenda sana spirit yako katika kuitetea hii career ya foreign exchange business.
 
Kibaruani kwangu kuna mtu anawazoa watu kuwaunganisha huko FOREX mi nligoma kwakua siijui hio biashara ila waliounganishwa siwaoni kama wana nyuso za uchangamfu. Nahisi inataka kufanana na FOREVA LIVING

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawajawahi kukuonesha picha za magari yao, nyumba zao among others walizopata kutokana na hiyo business ?
 
Kati ya mtumiaji wa madawa ya kulevya na hasiye tumia nani huwa ana uchungu na mwenzake ?
 
Nilikuza $40 mpaka ikakaribia 500, stop loss ikatembea na mzigo wote siku ya news CAD baada ya hapo kila nikijipanga wanaondoka na mzigo mazima, nikasema nitakuja kulaza njaa watoto!
wakati wa fundamental unakuaje na open possition ilihali hujui fundamental inaendaje!? ile ina utaalamu wake hasa zile NFP na interest rate decsn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…