Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

Status
Not open for further replies.
Ontario Kichwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kubet hata kilaza anabet na anakula,so kubet ni rahisi zaidi.Sema Kubet pia hakutaki kabisa tamaa.Ukiwa na tamaa hutakaaa ule kwenye kubet

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sitaki kufuatilia mambo ya KAMARI

sent from this unknown device
 
Kwenye forex ukila unakula hela ya nani na ukiiunguza account (kuliwa) hela inaenda Kwa nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukila Huwa unakula hela ya nani na ukiliwa hela yako inaenda wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujapigwa Ban
 
Mkuu hzi likes zmekuboost kinyamaπŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
We mbna umekomalia probability? Sijaariwa na mtu ila maisha yangu yote yamerely kwenye forex.

Kacheze kamari uendeshe maisha yako kama una jeuri hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kufuatana na uelewa wa wa Tanzania wengi kuwa chini,forex lazima iwanyoe,forex inahitaji akili,muda,na focus,mtz anapenda mteremko hana mda wa kusoma na kuelewa.

Cha kushauri forex ifanywe na watu wenye uelewa nayo, wasio na uelewa ni vzr kukaa pembeni!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sana
Nilikua na kundi moja
Nikipoteza wananipa moyo tunajazana ujinga
Kesho unavunja kibubu unadeposit tena
Ha ha ha haaaaaaaaa.....ila wewe, unanivunja mbavu sana...ww si ndo ulikuwa unakimbizana daily kwa ontario kwenye ule mgorofa huku ukiwa umebebelea Toshiba yako..Duh jamaan
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…