Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

Status
Not open for further replies.
Ha ha ha pole sana. Hukuwa na hawa magwiji wa JF ambao wao kila siku wanavuna pesa? Hivi ukila hela unamla nani na ukiliwa nani anakula hela yako?
Ha ha haaaaa....haaa kwamba ukiwa umekula unamla nan na ukiliwa unaliwa na nani..duuuh ya ulimwengu makubwa
 
Mkuu tickmill unatumia njia gani kudeposit na kuwithdraw, maana bila kuwa na 3D secured card hakubali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tukiona kimya tujue tayari wameshakula kichwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuacha tu uamini hivo.... ningekuwa nmekatwa kichwa ningekuwa nimeshaanza kuuza kitu kimoja kimoja.

Kwanza nina uhakika thamani tu ya simu yangu ni hela ambayo unaisotea kwa miezi kama siyo mwaka unaisha haujaishika kwa mara moja...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa jamaa ni kama madalali
wao wanaingiza kupitia mafala wanaowaokota ndomana nlipogusa maslahi yao wameniblast huko juu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
nasisitiza HISIA NI AKILI
endeleeni kuwaokota.
 
Sijawahi kufanya Forex..Lakini nachokijua Forex ni real deal kwa baadhi ya watu walio na maarifa thabiti kuhusu hii biashara.

Lakini watanzania kama kawaida yetu tunapenda kudandia dandia tu vitu bila kuvijua kiundani.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa we una hela sijakataa,na siwezi kulingana na wewe.Ila umesema mwenyewe kuna siku utatoa mrejesho,ndio nikakukumbusha kuwa tukiona kimya tujue tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…