Ndo hivo ila kam ukiangalia tu urefu wa candlesticks unaweza kusema eurgbp inakimbia.... Ila kuna pairs kama GBPNZD vicandlesticks vyake vidogodogo...
Ndo hivo ila kam ukiangalia tu urefu wa candlesticks unaweza kusema eurgbp inakimbia.... Ila kuna pairs kama GBPNZD vicandlesticks vyake vidogodogo...
Ila ndo pair inaongoza kwa kutembea pips nyingi...
Pairs ambazo GBP ni base currency zinatembea sana...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ambao mnafund hela skrill kwa mastercard, kuna changamoto ambapo hela huwa inakataa kwenda kwa broker.
So kitu unachoweza kufanya ni kuzihamishia Kwenye account ya neteller then ndiyo ufund
I have tested it yesterday
Sent using Jamii Forums mobile app
Point ni kwamba hakuna pesa ya urahisi. Hata huko kwenye Forex wewe mwenyewe unajua kwamba hali ni tete sema huwezi ku admit adharani.Duuh gasho ndio pesa inakuja kwenye silver plate? Daah kazi ya kusokomezwa dude ambalo hata wewe unalo ni nyepesi kihivyo? Bro unatia wasiwasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona mtu badala ya kujibu hoja anakimbilia kuchambua sarufi ujue ana shida mahaliHasiye ndo nn? Mliokimbia shule mapema hii biashara hamtoiweza
Hili swala la kuliwa na kula hakuna hata mmoja anayelijibu. Sijui wanakwama wapiHa ha haaaaa....haaa kwamba ukiwa umekula unamla nan na ukiliwa unaliwa na nani..duuuh ya ulimwengu makubwa
Kwa maelezo hayo fx ni sawa tu na gambling ?Ngoja nichangie kidogo hapa ukila unakula hela ya aliyeliwa huko na ukiliwa hela yako inaenda kwa aliyekula huko inamaana kama unaloose huku kuna mtu pembeni anaprofit na kama ukiwa na profit ujue kuna mtu huko kaloose
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma hii thread mwanzo mwisho unaweza kuwakutaSijui kwa nini mpaka sasa sijakutana na mtu aliefanikiwa kwenye hili.
Mkuu ashauriki mi namsubiri tu apunuliwe vitu vyote nimuajiri kwenye kumenya viazi
Nimerudi kutoa mrejesho wa eurusd , cheki mt4 muone imevyosell kama nikivyosema hapo awali...
Kusikia kwa kenge mpaka damu imtoke mkuuunijulishe akitaka kuuza hilo friji huyo fala.sijui ulevi wa kamali kijinga namna hii unatokaga wapi
Mi naangalia tu wanavyokuja kujitetea wakati mshikaji wangu namuona anazidi kupunuswa
Mwambie uzalishaj mwemaChuoni Kuna jamaa angu ndio anataka atumie hela ya ada eti aizalishe kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Seriously kama unaweza nisaidia NamBA ya huyo rafiki yako feel free kuniunganisha nae, ili baadae uje kutoa ushuhuda humu. Bureeee kabisaMi naangalia tu wanavyokuja kujitetea wakati mshikaji wangu namuona anazidi kupunuswa
Sent using Jamii Forums mobile app