jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,342
Kila siku forex forex!! Kama mnapiga hela washirikisheni baba zenu!
Au hamtaki na wao wamiliki hela mingi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila siku forex forex!! Kama mnapiga hela washirikisheni baba zenu!
Heheheh.... mnateseka sana aiseeee....Kila siku forex forex!! Kama mnapiga hela washirikisheni baba zenu!
Au hamtaki na wao wamiliki hela mingi?
Daily nampa ushauri aachane na hiyo biashara yake ya forex naona hanisikii sasa mi nasubiri kuona mwisho wake.
Hongera mkuu
duh[emoji15]Chuoni Kuna jamaa angu ndio anataka atumie hela ya ada eti aizalishe kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Au gusa usdtry utaleta mrejeshoNdo hivo ila kam ukiangalia tu urefu wa candlesticks unaweza kusema eurgbp inakimbia.... Ila kuna pairs kama GBPNZD vicandlesticks vyake vidogodogo...
Ila ndo pair inaongoza kwa kutembea pips nyingi...
Pairs ambazo GBP ni base currency zinatembea sana...
Sent using Jamii Forums mobile app
Sitrade exotic.... lakini what I know GBPTRY lazima itakuwa inatembea zaidi kuliko USDTRY...
Wapi umeshindwa kuelewa mkuu?nimejitahidi kuelewa lakini wapi.... duh
Yani mkuu watu wana mirohoo meusii balaa.. wabongo tumezidi kubaniana .!!Watanzania wenye moyo huo labda wachache mkuu. Unamwambia mtu akufundishe hiyo kitu ila kwa muda huo huna kiasi hiko chote kwa ajili ya mentorship, lakini anakutolea nje. Na huyo mtu daily unakuta post za screenshots za dollars. Binafsi naona hatuna nia ya kusaidiana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu uzi umeanzishwa na forex trader?Kila siku forex forex!! Kama mnapiga hela washirikisheni baba zenu!
Au hamtaki na wao wamiliki hela mingi?
Yani kutufundisha tu wenzenu tuanze kupiga Pesa kama nyie mnataka Lakiii...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji849][emoji849][emoji849][emoji24][emoji24][emoji24]
Mkuu sasa unataka ufundishwe bure kabisa? Sehemu anayokufundishia analipia, muda ule anaokuandalia materials na kukufundisha angeweza kuwa anatrade au anafanya mambo mengine halafu mtu ukilipia ndio unaonekana how serious you are. Mimi watu walishanifuata niwafundishe japo sio mtaalam kiivyo walau vitu vidogo vidogo naweza kumuelekeza mtu, unaenda nae wee baadae anaanza kuleta stori nyingine za kipumb.avu unafikiria muda ule wote uliopoteza si bora ungelala tu au ungezama library kuongeza maarifaYani kutufundisha tu wenzenu tuanze kupiga Pesa kama nyie mnataka Lakiii...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji849][emoji849][emoji849][emoji24][emoji24][emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyosha mkono juu Kama ulienda na Mimi kwenye eurusd na eurgbp... Asubuhi nilisema nitazisell siku nzima ukaogopa movement... Cheki eurusd ilivyoshuka.
Nyosha mkono juu Kama ulienda na Mimi kwenye eurusd na eurgbp... Asubuhi nilisema nitazisell siku nzima ukaogopa movement... Cheki eurusd ilivyoshuka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Imetembea zaidi ya pips 100...Mkuu nimeiangalia mida ya saa nane nikaona ilichofanya nikabaki tu kuumia. Anyways the market is full of opportunities ukikosa leo unasubiria kesho
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee haya mkuu ila me nilikuwa na nia ya dhati kabisa kujuaa lakini nlipoona kujifunza tu mpaka nilipiee Lakii...mtu mwenyewe simjui vizuri nikaona kila dalili ya kupigwaa...nkaogopa kuwa fursa..Mkuu sasa unataka ufundishwe bure kabisa? Sehemu anayokufundishia analipia, muda ule anaokuandalia materials na kukufundisha angeweza kuwa anatrade au anafanya mambo mengine halafu mtu ukilipia ndio unaonekana how serious you are. Mimi watu walishanifuata niwafundishe japo sio mtaalam kiivyo walau vitu vidogo vidogo naweza kumuelekeza mtu, unaenda nae wee baadae anaanza kuleta stori nyingine za kipumb.avu unafikiria muda ule wote uliopoteza si bora ungelala tu au ungezama library kuongeza maarifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu shukrani ubarikiweNyosha mkono juu Kama ulienda na Mimi kwenye eurusd na eurgbp... Asubuhi nilisema nitazisell siku nzima ukaogopa movement... Cheki eurusd ilivyoshuka.
Sent using Jamii Forums mobile app