Hatathubutu kuja mtu,utaishia kuona tu Screenshot za mahela ya kudownload tu.Aje mtu atuambie ana nn kwa hiyo forex .sio kelele nyingi.
Hatathubutu kuja mtu,utaishia kuona tu Screenshot za mahela ya kudownload tu.
Mimi najitolea. Nakuomba uweke Salio LA account yako hapa na mimi niweke Salio langu la exness. Nakupa dakika 05 ukiweka na Mimi naweka.Hata watu wa bitcoin wanaweza kukuconvice ktkt bitcoin wanakuonesha magari ya kifahari ,mansions,yatchs n.k. ktk biashara. Sasa watu wa forex aje mtu atuone
Hata mtu akitaka kukushauri ulime anaweza kukwambia mwaka jana nilikua na shamba ekari kadhaa nikalima kitu flani nikavuna nikauza nikapata pesa kiasi kadhaa.nikanunua gari au nyumba n.k.
Hizo dola ulizoweka mbona zimefutwa?mnataka kutuaminisha hiyo forex unapata pesa nyingi?hamna kitu hapo zaidi ya kupata pesa ya kula tu.Mimi najitolea. Nakuomba uweke Salio LA account yako hapa na mimi niweke Salio langu la exness. Nakupa dakika 05 ukiweka na Mimi naweka.
Kuwa muaminifu ficha taarifa zako muhimu ila Salio lionekane. Mtu mwenyewe ni salary monger.
Niliwapa vichwaa panzi wenzio hii challenge sikuona hata mmoja.
Ukiweka account yako namalizia kufungua hilo Salio , ujione ulivyo kichwa maji.
NB: Hizo digits ni in USD View attachment 986224
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo dola ulizoweka mbona zimefutwa?mnataka kutuaminisha hiyo forex unapata pesa nyingi?hamna kitu hapo zaidi ya kupata pesa ya kula tu.
Dhibitisha nilichosema sio polojo
Dah. Huwa najiuliza watu wa forex wanasifia kila siku. Aje mtu hapa atuambie tangu yupo ktk forex amepata nini?kuna watu duniani kama 50 cent walikua na bitcoin na wana mali nyingi hao wanaweza kukushawishi.
Kifupi watu wa forex aje mtu atuambie ana nn i.e mali,pesa n.k alizopata ktk forex .tofauti na hapo kwa upande wangu naona ni hadithi za kusadikika.
Account ya TempleR tu umeanza kuweweseka. HahahahaHizo dola ulizoweka mbona zimefutwa?mnataka kutuaminisha hiyo forex unapata pesa nyingi?hamna kitu hapo zaidi ya kupata pesa ya kula tu.
Dhibitisha nilichosema sio polojo
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kwani dogo yupo?Mshikaji wako atakuwa alikutana na mdogo wangu anaitwa Ontario hahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo usd 2000, usd 4000 etc hizo no pesa za kawaida . nilifikiri labda usd laki na kuendelea? Coz watu wanavyopiga kelele kuhusu forex sijui bitcoin utafikiri wana mamilioni ya pesa . milioni 4 ,5,6 etc hizo ni pesa za kawaida sana.
Hapa kisebusebu kimekushuka jamaa kakukomesha sana....Weww mtu wa forex ndo unabidi u prove unachosema .ni sawa na kumwambia mo dewji sio tajiri halafu dewji aseme kama yeye sio tajiri tuweke salio la akaunti yake na yangu.hapo unakua hujajibu ulichoulizwa. Nonsense
Hizo usd 6000 kama milioni 13 ni nn?mbona pesa ya kwaidaHapa kisebusebu kimekushuka jamaa kakukomesha sana....
Ya kawaida...umepewa challenge onesha account zako wewe mwenye hela zisizo za kawaida...Hizo usd 6000 kama milioni 13 ni nn?mbona pesa ya kwaida
I was born poor. I will die rich. MFAccount ya TempleR tu umeanza kuweweseka. Hahahaha
You'll Probably Fucking Die Poor.
Sent using Jamii Forums mobile app
No need to show off.Ya kawaida...umepewa challenge onesha account zako wewe mwenye hela zisizo za kawaida...
Una matatizo kichwani wewe. Kwa hiyo hela zote zinatunzwa kwenye mt4? Au unatamani uonyeshwe bank account? KAMA HUWEZI KUTRADE FOREX KAUZE VIBAMIA BWANA UNATUCHOSHA TU HUMU JUKWAANI!Hizo usd 2000, usd 4000 etc hizo no pesa za kawaida . nilifikiri labda usd laki na kuendelea? Coz watu wanavyopiga kelele kuhusu forex sijui bitcoin utafikiri wana mamilioni ya pesa . milioni 4 ,5,6 etc hizo ni pesa za kawaida sana.
Mtu anatamba na dola elfu 6000 .dah ila kuna watu hata milioni hawajawai kushika. So sad 😢No need to show off.
Hujui unachokitaka...unataka account za watu ukiombwa zako inageuka show off....we hata sio verified au maarufu sana jf kiasi useme wengi tutakujua....dondosha salio la account tujue daudi anaporojo tu au vipi?No need to show off.
Utaombwa na withdrawal muda si mrefu...Una matatizo kichwani wewe. Kwa hiyo hela zote zinatunzwa kwenye mt4? Au unatamani uonyeshwe bank account? KAMA HUWEZI KUTRADE FOREX KAUZE VIBAMIA BWANA UNATUCHOSHA TU HUMU JUKWAANI!