Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

Status
Not open for further replies.
Ningekuwa naangalia nani kapata nini ningeshaingia. Ila nina vigezo vyangu. Let me tell you, nikiona mtu successful namuuliza WHAT DO YOU DO AND HOW DO YOU DO IT? Then I go to work. $1000 Ku raise to $12,000 sio ajabu. I raised $5000 to over $150,000 in less than 3yrs.
 
Oh kumbe nimechukulia negatively nilijua nakupa uzoefu wangu, naomba yaishe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You raised 5000 to 150,000usd in less than 3 yrs but the colleague raised 1000$ in less than 30 days.



Daaah natamani niendelee kuandika ila nimechoka. Naishia hapa. Ila nakuacha na hii video ya forex Kwa beginners kutoka kwa mtaalamu wangu Adam Khoo.



Barikiwa.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee kumbe we ni mdeadly katika hio mi graph. Hongera sana boss wacha si tulime matikiti tu.
 
How much did you raise? Coz you posted a professional and I'm not a pro in what I do nimganga njaa tu
 
Majibu yenu ni as if watu wanaponda tu, wengine wanatafuta info.
Hivi pacha mimi nimesema kipi kibaya hapo? Mimi nimekwambia kile ninachokijua na hiyo kila ukisoma kitabu cha forex lazima ukutane nayo, trading psychology na hata kama ikitokea ukaja kufanya utajua kuwa nilichokuwa nakwambia ni facts wala sio mihemko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
But looks like you managed to make a $5000 be a 150 Grand fortune from the thing called Forex and thats strictly 3 good years!
Nimekuza mtaji from $5000 to $150,000. Huo ni mtaji ninaofanyia kazi at anytime T. Kuhusu how much I made in those 3 years ni zaidi ya 700m. Ukiaka naweza kukutumia TRA proof PM. Sasa kwanini nicheze kamari ya $100/200?

I don't do Forex
 
Nimekuza mtaji from $5000 to $150,000. Huo ni mtaji ninaofanyia kazi at anytime T. Kuhusu how much I made in those 3 years ni zaidi ya 700m. Ukiaka naweza kukutumia TRA proof PM. Sasa kwanini nicheze kamari ya $100/200?

I don't do Forex
You talk a good game man, drop that sample kwa PM.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…