Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

Status
Not open for further replies.
Mimi mwenyewe na trade in forex lakini sina muda wa kumshawishi mtu. Anayetaka aifanye, hasiyeitaka aache
Hata kwenye mataifa makubwa wapo wengi tu wasioijua.

Hakuna anayeipromote ila sisi tukikaa na kuanza kujadili mada zetu nyie mnakuja na hoja zenu uchwara.

Malalamiko ni kwa watu wanaoingia kichwakichwa bila kufanya research yoyote.

Mwisbo wa yote kama jamaa yako .anakijua anachokifanya basi kuna siku utakuja kuyaonea aibu haya uliyoyaandika humu. Unless kama anagamble, maana kuna very thin line kati ya kufanya forex na kugamble

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kuteseka sana na shughuli za manamba (Manual work) nilikaa chin nikatafakari....nikaona kutusua sio lazima uteseke aisee....nikaanza kufanya mishe soft lakn zinaingiza pesa..watu wakawa wanashangaa mshikaj nang'aa tu kitaa....Kwa sasa Forex nainyatia , kwa mtu makni ni fursa...najua itasumbua somehow..ila mwisho wa siku nitakuwa naingiza pesa huku nimekaa, taratibu nakunywa juice ya Azam embe.....mambo ya kujiloweka kwenye tope na kilimo cha matikiti nimewaachia wenye vipaji vyao
 
Nyie ndo wale mkikanyagwa bahati mbaya afu mkaambiwa sorry mnarusha maneno na ngumi kabisa...jamaa si kasema mniwie radhi walokole au inamaanisha nini hiyo sentensi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna aliyempiga yeye wala hoja zake; nilichokuwa nafanya ni kutoa elimu ndogo na ufafanuzi sahihi juu ya hilo neno "walokole" basi. Hakuna ugomvi on anything else bro.
 
Nyie ndo wale mkikanyagwa bahati mbaya afu mkaambiwa sorry mnarusha maneno na ngumi kabisa...jamaa si kasema mniwie radhi walokole au inamaanisha nini hiyo sentensi

Sent using Jamii Forums mobile app
Haiingii akilini kama mtu atakuomba msamaha kabla ya kukukanyaga ndipo akakukanyaga kimsingi lazma uongee kama uko timamu na alichokua anakifanya bro hapo nafikiri nkutoa elimu kuhusu wokovu ambayo ndugu yetu kaikosa ndio sababu akafananisha wokovu na vitu vya kijinga...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana mkuu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ona hili nalo
 
Nimepitia comment nyingi sana,ila mwisho wa siku kama kitu anakifanya fulani na kinamuingizia kipato sio lazima na wewe ufanye,fanya chako maisha yaendelee ,hakuna haja ya kujitetea after all no body will feed you when you will be broke...dawa ya kuonesha unachofanya kinalipa ni maendeleo tu...na hakuna watu ambao unatakiwa kuwa nao makini ukiwashirikisha fursa kama watanzania...watanzania waoneshe mafanikio kwanza ndo mtazungumza lugha moja....MWISHO..biashara yoyote bila kuwa na elimu tosha basi huna unachokifanya....risk is everywhere

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiki ndicho kinanishangaza

Mbona nguvu inayotumika kubwa sana?
Mtu akikataa fursa shida iko wapi mpaka ujae upepo?
 
Kweli kbs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukabila
 
Forex trading inahitaji uelewa mpana Sana na kujua transaction trends Kila nukta ili uwekeze la sivyo achana nayo hatari ipo mbele yako
 
Nilikuza $40 mpaka ikakaribia 500, stop loss ikatembea na mzigo wote siku ya news CAD baada ya hapo kila nikijipanga wanaondoka na mzigo mazima, nikasema nitakuja kulaza njaa watoto!
Pair yenye Cad na Aud siyo za kuziamini maana zinaadhiriwa na mafuta na dhahabu, Australia ni mzalishaji mkubwa wa dhahabu na Canada ni mzalishaji mkubwa wa oil. Kwa hiyo, hivyo vitu vinasababisha pair zenye hizo hela zisiwe na utulivu sokoni. Japo CAD ni nzuri sana kwenye news ukiwa unajua vizuri kutrade news

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…