Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

Status
Not open for further replies.
Forex watu watrade hata kwenye daladala kama jana kuna sister nilimcheki kwenye daladala sema nikasita kumongelesha asije nichamba na kusema nataka kumpola mapips na malots size bure sema alikua anatabasam sana huenda alikua anapinga pesa sana hahhaahhahhaha acha nikomae na demo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anzaaa kutrade mzee demo unapotezaa mudaa...!!




Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hahaaahaaaaa,kwa hiyo wewe mkuu unapigwa na wa mbele na sio wa huku bongo wanaokutangaza?
 
SUCCESS COMES AFTER SUCRIFICE NDUGU! JEFF BEZOS ALIACHA KAZI KAMA MENEJA WA KAMPUNI LICHA KUONGEZW MSHAHARA, NA LEO ANATAWALA UCHUMU WA DUNIA BILA MASHARTI YA MTU. JIFUNZE KUTOKA KWAKE RAFIKI YAKO, USUMCHEKE
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
SUCCESS COMES AFTER SUCRIFICE NDUGU! JEFF BEZOS ALIACHA KAZI KAMA MENEJA WA KAMPUNI LICHA KUONGEZW MSHAHARA, NA LEO ANATAWALA UCHUMU WA DUNIA BILA MASHARTI YA MTU. JIFUNZE KUTOKA KWAKE RAFIKI YAKO, USUMCHEKE

Calm down
 
Hii BITCOIN ilimliza ndugu yangu mwaka Jana kaingiza million yake asubir miezi minne ile ya kuvuna,longolongo zikaanza Mara kuna tatizo linshughulikiwa Mara malipo yamepunguzwa,pesa zikaenda hakupata chochote ,saivi hataki kusikia hizi habari
Vijana wa siku hizi wanavutiwa zaidi na taarifa za uongo hata kama zina madhara makubwa mbeleni.
 
Vijana wa siku hizi wanavutiwa zaidi na taarifa za uongo hata kama zina madhara makubwa mbeleni.
Upo sahihi kabisa,yatupasa kupambana hakuna hela ya bure,tufanye kazi kwa juhudi kwa ajili ya future zetu,nothing comes easy.
 
Haha wanahalalisha kupoteza pesa duh !!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna mzee waulize vizuri waeka screenshot za blue(za kula) watakwambia wamechoma sana akaunt kabla ya kuanza kufanikiwa na kudownload madolali mengi kwa siku.

Wanakwambia forex inahitaji msuli na forex is not for everyone. Hizi kamali acha tu.
 
Hamna mzee waulize vizuri waeka screenshot za blue(za kula) watakwambia wamechoma sana akaunt kabla ya kuanza kufanikiwa na kudownload madolali mengi kwa siku.

Wanakwambia forex inahitaji msuli na forex is not for everyone. Hizi kamali acha tu.
Who told you forex ni kamali??


 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…