Xavee
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 424
- 636
Ficha umbumbumbu mkuu..... Sasa unadhani bila large financial institutions kushiriki volutality zinatoka wapi?? Chati itajitengenezajee??Unataka kutuambia Bank kuu huwa wanatrade?
Yale mahati fungate huwa wanayatoa ya nini sasa?
Mnawaambukiza watu ugoro wakiibiwa mpate kamisheni!!!
Watu wengine mnatia aibu hadi kinyaa.
USHAURI WA BURE; download app inayoitwa investing, search pair ya TZSUSD kisha view chati yake halafu wakati huo huo tafuta exchange rate ya usd against tzs, anza kufuatilia jinsi ile exchange rate itakavyokuwa inabe printed kwenye chart kadili inavyobadirika.
Sent using Jamii Forums mobile app