Sio kwamba huyu mshikaji wang alikuwa akimtamani shemeG yake tangu kipindi nipo nae,? So kumuacha ameona ni fursa kwakeSasa kama humpendi ex wako mbona unaumia ukiachana na mtu maanake maisha yake hayakuhusu kwa chochote hata umkute na nani kwakua mshafunga mahusiano .
Sio kweli hayo ni mawazo yako tu na wewe bado unampenda na kwa sasa mueshimu sana shemeji yako.Sio kwamba huyu mshikaji wang alikuwa akimtamani shemeG yake tangu kipindi nipo nae,? So kumuacha ameona ni fursa kwake
Marhaba al habibSasa kama humpendi ex wako mbona unaumia ukiachana na mtu maanake maisha yake hayakuhusu kwa chochote hata umkute na nani kwakua mshafunga mahusiano .
Ni wivu tu unakusumbua...
Pambana na hali yako...
Hapana huyu mshikaji wang kuna time hadi ananikera kuna muda ananiambia eti "" Oi nakuja hapo nyumbani kwako nipo na shemeG yako tunakuja kukusalimia". Huo si uchokozi kabisa😂Ni wivu tu unakusumbua...
Pambana na hali yako...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hapo hua anamwambia kabisa demu wake twende ukamsalimie shosti yako Fj4family [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]H
Hapana huyu mshikaji wang kuna time hadi ananikera kuna muda ananiambia eti "" Oi nakuja hapo nyumbani kwako nipo na shemeG yako tunakuja kukusalimia". Huo si uchokozi kabisa[emoji23]