Mshikaji wangu anatembea na ex wangu

Mshikaji wangu anatembea na ex wangu

Kuna mshikaji wangu anatembea na ex Wangu ambaye nimeachana nae miezi 5 iliyopita, kiukweli huyo ex simpendi lakini mshikaji wangu ananiboa sana, ina maana alikosa demu mwingine mpaka aje kutembea na mashemeji zake

Naomba ushauri nimfanyeje huyu mshikaji wangu maana naona ni kama anasafiria nyota yangu😂😂 nilitaka nimkate mitama mbele ya huyo ex wangu ila basi tu sitaki kesi 😂😂
Acha ushamba, unajua walianza lini? Huyo mlikuwa wote wewe ukajitoa mwenzio kaendeleza.
 
Fanya hivi jifanye hujui hivo hivo kisha pambana umkule tena huyo demu hakikisha miadi unaweka kwa sms .

Kisha mwite mshikaji mbele ya ndugu yake wa karibu mshitakie jambo hilo kwa kusema umesikia .kijanja atakataa.mpe asome hizo sms .

Mwambie kaka mimi nliposikia nilienda kula jicho ya mwisho na nimekuachia maana alieniambia kanitajia jamaa wengine kama watatu mshauri atumie kondomu si hasa juu ya hiv bali gono

Kisha kaa pembeni uone watesi wakiunguzana moto.
INAFANYAJE KAZI?
Jamaa atajiona kasalitiwa .pili atakuona kidume kuwa ni umemuachia tu Hii wanaume huwa inakata maini .na kumwita ndugu au mshikaji wake sana ni kufanya awe hana la kujidaia ukiwa haupo.usisahau kusema uongo kuwa ulikula jicho
 
Kuna mshikaji wangu anatembea na ex Wangu ambaye nimeachana nae miezi 5 iliyopita, kiukweli huyo ex simpendi lakini mshikaji wangu ananiboa sana, ina maana alikosa demu mwingine mpaka aje kutembea na mashemeji zake

Naomba ushauri nimfanyeje huyu mshikaji wangu maana naona ni kama anasafiria nyota yangu[emoji23][emoji23] nilitaka nimkate mitama mbele ya huyo ex wangu ila basi tu sitaki kesi [emoji23][emoji23]
Kama umemchoka tuachie sisi tumle mpaka mifupa sisi ndio mafisi.......Rayvan

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Huyo sio X ni Y,
Kifupi bado unampenda.

Kama mliachana inakuwaje kazi yako kusimamia nani anampelekea moto sasa?
 
Mama yangu aliwahi kunishauri vitu ambavyo huna matumizi navyo tena wape wenye mahitaji...
 
Kama umeachana na mwanamke alafu bado unamfatilia maisha yake wew ni falaa.. hata akidate na kichaaa wew haikuhusuu
 
Back
Top Bottom