Mshikaji

Mshikaji

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Hivi mnakumbuka zamani neno "mshikaji" lilikuwa likimaanisha mpenzi wako au hawara wako? Baadaye ndio likaja kubadilika na kumaanisha rafiki.....duuuuh....

Ilikuwa ukisikia kwa mfano, Nyani Ngabu mshikaji wake Katelero...hiyo ilikuwa na maana Katelero ni demu wangu...lol...hii misamiati ya kiswahili hii
 
Back
Top Bottom