Mshindi Uenyekiti CHADEMA anaweza kutangazwa usiku wa manane!

Mshindi Uenyekiti CHADEMA anaweza kutangazwa usiku wa manane!

Mfahamu sultan ibn mbowe king'ang'anizi
IMG-20241206-WA0083(1).jpg
 
Kwa Hizi figisu kuna kila dalili Mshindi wa uenyekiti atatangazwa usiku wa manane. Natanguliza salamu za Pongezi kwa Mwenyekiti "atakayetangazwa"
Mkuatano hauna kazi moja kuna nafasi mbalimbali za kupigiwa kura ukiacha hiyo ya mwenyekiti na zinagombewa na wengi; kuna kupitia raarifa ya ka,zi za chama kwa miaka mitano iliyopita, kupitisha agenda nk.

Pia mchakato wenyewe wa upigaji kura ili uwe wa uwazi unahitaji kwenda nao polepole ikiwemo kuhakiki majina, mtu kupiga kura yake kwa siri na kutumbukiza katika boksi bila kuzongwazongwq hiyo yote inahitaji muda mrefu. Hivyo lazima mchakato ukamilike usiku labda ingekuwa mkutano ni wa siku mbili ndio ingewezekana kutangaza mapema.
 
Mkuatano hauna kazi moja kuna nafasi mbalimbali za kupigiwa kura ukiacha hiyo ya mwenyekiti na zinagombewa na wengi; kuna kupitia raarifa ya ka,zi za chama kwa miaka mitano iliyopita, kupitisha agenda nk.

Pia mchakato wenyewe wa upigaji kura ili uwe wa uwazi unahitaji kwenda nao polepole ikiwemo kuhakiki majina, mtu kupiga kura yake kwa siri na kutumbukiza katika boksi bila kuzongwazongwq hiyo yote inahitaji muda mrefu. Hivyo lazima mchakato ukamilike usiku labda ingekuwa mkutano ni wa siku mbili ndio ingewezekana kutangaza mapema.
Hiyo imekaa poa. Lisu atafute kazi nyingine ya kufanya
 
Kwa Hizi figisu kuna kila dalili Mshindi wa uenyekiti atatangazwa usiku wa manane. Natanguliza salamu za Pongezi kwa Mwenyekiti "atakayetangazwa"
..mbowe amesema anataka mambo yafanyike mchana kweupe, let us see
 
Kwa Hizi figisu kuna kila dalili Mshindi wa uenyekiti atatangazwa usiku wa manane. Natanguliza salamu za Pongezi kwa Mwenyekiti "atakayetangazwa"
Kura 1200 zinatakiwa matokeo yatokee saa sana mchana .

Tena Lisu amchague askofu Mwamakula ,Shekhe Ponda, Padri Kitima, Mwabukusi au askofu Mwanamapinduzi kuwa msimamizi wa kura zake .

Kura zipigwe na zihesabiwe kwenye Chumba chenye Kamera .

Mbowe hata atoe pesa zote walizoiba benki kuu miaka hiyo na mkwe wake bado hadezi kuingia kwenye mioyo ya wapiga kura wa mikoa yote mbali na Kwenye kata yake kule Machame.

Kanda ya ziwa hana kitu
Manyara Hana kitu
Arusha kwa Wamasai hana kitu maana ameungana na serikali ya Samia iliyowafukuza kwenye ardhi yao.
Mbeya hana kura
Tanga hana kura ,Kilimanjaro hana kura Rombo,Mashi vijijini, Mwanga , Siha na Same .
Singida hana hata kura moja
Dodoma hana kura maana yupo kwenye kundi linalombagaza Ndugai kwa sababu ya ufisadi na Ndugai hapendi ufisadi .
Iringa hana kura
Mtwara hana kura
Rukwa hana kura .
Kigoma hana kura.
Kura za Mbowe ni chache sana pale Machame tuu hata kata 20 hazifiki.

Kura zilipigwa kwa haki
Lisu 960
Mbowe kura 180
na yule mwingine 55
Kura zilizo haribia 5.

Uchaguzi ndani ya Chadema utakua umeleta matumani makubwa na 2025 October CCM byebye mana wapinga rushwa na ufisadi wote watahamia chadema .
CCM itabaki na mafisadi na machawa watakaotokea chadema kuungana na machawa wenzao kule CCM
 
Kura 1200 zinatakiwa matokeo yatokee saa sana mchana .

Tena Lisu amchague askofu Mwamakula ,Shekhe Ponda, Padri Kitima, Mwabukusi au askofu Mwanamapinduzi kuwa msimamizi wa kura zake .

Kura zipigwe na zihesabiwe kwenye Chumba chenye Kamera .

Mbowe hata atoe pesa zote walizoiba benki kuu miaka hiyo na mkwe wake bado hadezi kuingia kwenye mioyo ya wapiga kura wa mikoa yote mbali na Kwenye kata yake kule Machame.

Kanda ya ziwa hana kitu
Manyara Hana kitu
Arusha kwa Wamasai hana kitu maana ameungana na serikali ya Samia iliyowafukuza kwenye ardhi yao.
Mbeya hana kura
Tanga hana kura ,Kilimanjaro hana kura Rombo,Mashi vijijini, Mwanga , Siha na Same .
Singida hana hata kura moja
Dodoma hana kura maana yupo kwenye kundi linalombagaza Ndugai kwa sababu ya ufisadi na Ndugai hapendi ufisadi .
Iringa hana kura
Mtwara hana kura
Rukwa hana kura .
Kigoma hana kura.
Kura za Mbowe ni chache sana pale Machame tuu hata kata 20 hazifiki.

Kura zilipigwa kwa haki
Lisu 960
Mbowe kura 180
na yule mwingine 55
Kura zilizo haribia 5.

Uchaguzi ndani ya Chadema utakua umeleta matumani makubwa na 2025 October CCM byebye mana wapinga rushwa na ufisadi wote watahamia chadema .
CCM itabaki na mafisadi na machawa watakaotokea chadema kuungana na machawa wenzao kule CCM
Unaenda na matokeo kama mashabiki wa Simba!
 
Kwa Hizi figisu kuna kila dalili Mshindi wa uenyekiti atatangazwa usiku wa manane ili kupunguza vurugu. Natanguliza salamu za Pongezi kwa Mwenyekiti "atakayetangazwa"
Vurugu zitaletwa na maadui na wasio wanachama wa CHADEMA
 
Back
Top Bottom