Naona unakuwa utamaduni sasa kwa bunge letu kualika timu bingwa wa ligi ya nchi yetu. Nadhani itakuwa jambo jema kwa timu bingwa wa kombe la FA kati ya Mtibwa na Singida United nae aalikwe bungeni kwani atakuwa mwakilishi wa nchi yetu kimataifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.