Mgosi Mbena
JF-Expert Member
- Nov 28, 2023
- 499
- 604
Kijana wa Eritrea kwa majina ya Biniam Girmay kujishindia dola $533,915x 2600= 1,387,149,400
Kiasi kinaweza kuongezeka kama kulingana na mabadiliko ya thaman ya pesa.
Kweli nimeamini ukubwa wa pua si wingi wa kamasi.Tanzania mara ya mwisho lini kutoa washindi wakubwa kimataifa.
Kuna shida mahali jinsi tunavo jiposition na kuji IMAGE
Kiasi kinaweza kuongezeka kama kulingana na mabadiliko ya thaman ya pesa.
Kweli nimeamini ukubwa wa pua si wingi wa kamasi.Tanzania mara ya mwisho lini kutoa washindi wakubwa kimataifa.
Kuna shida mahali jinsi tunavo jiposition na kuji IMAGE