Mshindi wa Tour De france kupokea 1,387,149,400 za kitanzania! Umasikini kujitakia

Mshindi wa Tour De france kupokea 1,387,149,400 za kitanzania! Umasikini kujitakia

Mgosi Mbena

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2023
Posts
499
Reaction score
604
Kijana wa Eritrea kwa majina ya Biniam Girmay kujishindia dola $533,915x 2600= 1,387,149,400

Kiasi kinaweza kuongezeka kama kulingana na mabadiliko ya thaman ya pesa.

Kweli nimeamini ukubwa wa pua si wingi wa kamasi.Tanzania mara ya mwisho lini kutoa washindi wakubwa kimataifa.

Kuna shida mahali jinsi tunavo jiposition na kuji IMAGE

D30C752B-AF5A-4265-9631-A6951E3B41E2.jpeg
 
Kijana wa eritrea kwa majina ya Biniam Girmay kujishindia dola $533,915x 2600= 13,871,494,00

Kiasi kinaweza kuongezeka kama kulingana na mabadiliko ya thaman ya pesa.


Kweli nimeamini ukubwa wa pua si wingi wa kamasi.
Watu milion 63 hamna hata mshindi afu kanchi kene kila aina ya matatizo ndo wanatoka washindi!! Hii nchi hapa
ujuaji mwingi
ndo umeandika shilingi ngapi
 
Mpuuzi huyu. Anachukulia mambo kirahisi sana. Ingetokea kashinda mtanzania bado angekuja kutuuliza huko kwingine kwann hawajashinda
Ingekua ngumu kusingekua na mtu anashinda sijui unaelewa!

Au ndo ushalemazwa akili unadhan kila kitu kigumu
 
Hizi ni list ya nchi na washindi waliowai kushinda tangu kuanzishwa kwa shindano hilo
5E56934D-30C2-4D2C-AF61-E2342909B231.png
B2CD0C1E-DD13-4E42-B61C-1F4A9573129A.png
48409FDA-27CD-4FFE-B64A-A25686E58B63.png
CCDB4111-03FB-42BB-AADB-D982FC8D1CDC.png
F9C202A7-6556-46DE-9BEF-B2A13ACC5F13.png
5AB0F5C9-5053-4E69-8843-AB6B5EB7EFFC.png
 
Kama ni rahisi hivyo kila mtu angekuwa kama Ronaldo, Messi na wengine wooote unaowaona
si wote ni wacheza mpira ungesema kila mchezaji !!
Maana ukisema kila mtu unamaanisha maingineer nao wawe kama mesi, wanasheria,walimu, wasaniii wa nyimbo!!
Kila mtu anashinda mechi zake kwene uwanja wake
 
Kijana wa Eritrea kwa majina ya Biniam Girmay kujishindia dola $533,915x 2600= 1,387,149,400

Kiasi kinaweza kuongezeka kama kulingana na mabadiliko ya thaman ya pesa.

Kweli nimeamini ukubwa wa pua si wingi wa kamasi.Tanzania mara ya mwisho lini kutoa washindi wakubwa kimataifa.

Kuna shida mahali jinsi tunavo jiposition na kuji IMAGE

View attachment 3034459
tz tushindw vita ya maneno na udaku
 
Acha kusema mambo ni rahis kama sio mwanamichezo. Tulia tu umpikie basha wako
mbona una ng’ang’aniza mambo yawe magumu hapo kwene list kuna nchi zimeshindq zaidi ya mara tano!!
Ni kuamua
Kujipanga
Na kuwekeza

Tz tukifanya hivi sidhan kama katka uwingi wetu atakosekana mtu wa kushinda hata mara moja.
Hizo nchi nyingi zimewekeza kwene michezo siyo michezo ya maneno kama tunavofanya huku
 
Tanzania inatia uvivu, maana ukishinda hiyo 1,387,149,400 kodi baada ya makato yote utabakiwa na 149,400/= kinyonge sana...


Cc: Mahondaw
 
Back
Top Bottom