Mgosi Mbena
JF-Expert Member
- Nov 28, 2023
- 499
- 604
ujuaji mwingiKijana wa eritrea kwa majina ya Biniam Girmay kujishindia dola $533,915x 2600= 13,871,494,00
Kiasi kinaweza kuongezeka kama kulingana na mabadiliko ya thaman ya pesa.
Kweli nimeamini ukubwa wa pua si wingi wa kamasi.
Watu milion 63 hamna hata mshindi afu kanchi kene kila aina ya matatizo ndo wanatoka washindi!! Hii nchi hapa
Alivyokuwa nyang'au akaikoleza kabisaujuaji mwingi
ndo umeandika shilingi ngapi
mkuu mi nimeandika hela we kama hujui hela yenye hizo tarakimu ni sh ngap si makosa yangu!ujuaji mwingi
ndo umeandika shilingi ngapi
IQ YAKO NI NGAP MKUU??Ili uepukane na umasikini olewa na huyo jamaa ili ufaidi nae
Ingekua ngumu kusingekua na mtu anashinda sijui unaelewa!Mpuuzi huyu. Anachukulia mambo kirahisi sana. Ingetokea kashinda mtanzania bado angekuja kutuuliza huko kwingine kwann hawajashinda
Kila mwaka watu wanashinda bado unakuja kulia lia hapa kwamba vitu vigumu!Mpuuzi huyu. Anachukulia mambo kirahisi sana. Ingetokea kashinda mtanzania bado angekuja kutuuliza huko kwingine kwann hawajashinda
Acha kusema mambo ni rahis kama sio mwanamichezo. Tulia tu umpikie basha wakoMini mwana michezo??
Kwani we akili zimekaa sehemu gani ya mwili??
kuna nchi zimejirudia mara mbili mbili nadhan ni kuweka malengo tu nakupambana!Hizi ni list ya nchi na washindi waliowai kushinda tangu kuanzishwa kwa shindano hilo
View attachment 3034473View attachment 3034474View attachment 3034475View attachment 3034476View attachment 3034477View attachment 3034478
Kwa mtu mzima kuongea upumbavu kama huu kwene jukwaa la wanazuoni kama hili nadhani ni kukosa kujiheshimuAcha kusema mambo ni rahis kama sio mwanamichezo. Tulia tu umpikie basha wako
Mashoga hawapendi vitu vigumu ndio maana wako tayari wakafumuliwe kuliko kuteseka na kazi ngumu so muelewe tuKila mwaka watu wanashinda bado unakuja kulia lia hapa kwamba vitu vigumu!
Kama si rahisi kusingekua na mshindi pia!!Kama ni rahisi hivyo kila mtu angekuwa kama Ronaldo, Messi na wengine wooote unaowaona
si wote ni wacheza mpira ungesema kila mchezaji !!Kama ni rahisi hivyo kila mtu angekuwa kama Ronaldo, Messi na wengine wooote unaowaona
tz tushindw vita ya maneno na udakuKijana wa Eritrea kwa majina ya Biniam Girmay kujishindia dola $533,915x 2600= 1,387,149,400
Kiasi kinaweza kuongezeka kama kulingana na mabadiliko ya thaman ya pesa.
Kweli nimeamini ukubwa wa pua si wingi wa kamasi.Tanzania mara ya mwisho lini kutoa washindi wakubwa kimataifa.
Kuna shida mahali jinsi tunavo jiposition na kuji IMAGE
View attachment 3034459
ni kwamba usipowekewa mikato huwezi kabisa😂😂😂😂hizi shule za kata hizi banaujuaji mwingi
ndo umeandika shilingi ngapi
mbona una ng’ang’aniza mambo yawe magumu hapo kwene list kuna nchi zimeshindq zaidi ya mara tano!!Acha kusema mambo ni rahis kama sio mwanamichezo. Tulia tu umpikie basha wako