R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,575
Mshindi wa Uraisi Kenya kutangazwa saa 3:30 pm (saa 9:30) na IEBC Na maandalizi yashakamilika ikiwepo ulinzi wa kutosha
MPAKA SASA KENYATTA ANAONGOZA KWA KURA 7 million ; ikiwa wazi ndo Raisi Mteule wa Kenya.
Wakati wowote atatia sahihi marekebisho ya sheria iliyokuwa mezani; ili Jaji Mkuu kama atamuapisha awepo Jaji mwingine wa kumuapisha.
Maisha lazima yaende
MPAKA SASA KENYATTA ANAONGOZA KWA KURA 7 million ; ikiwa wazi ndo Raisi Mteule wa Kenya.
Wakati wowote atatia sahihi marekebisho ya sheria iliyokuwa mezani; ili Jaji Mkuu kama atamuapisha awepo Jaji mwingine wa kumuapisha.
Maisha lazima yaende