njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
umeona eeee msolla kapiga kazi haswaa mafanikio yake yako wazi bwasheeeNa bado mpaka dawa iwaingieni.
hawana akili hao team iongozwe na msomali? mafanikio ya msolla yako wazi kabisaMbona huku mtaani wanaimba wimbo wa Eng Hersi
Wekundu wa msimbazi kulikoni? Mmetumwa na nani?Team mwaka huu imechukua ubingwa chini ya msolla na inaenda kuchukua ubingwa wa afrika ama kwa hakika anatosha kabisa kuupata U rais wa klabu bora kwa viwango vya CAF eneo la afrika mashariki yaani the MIGHTY DAR YOUNG AFRICANS
Kubabaika na wageni toka somalia ni ukosefu wa akili, twende na mzee wetu mzawa toka morogoro, ikishindikana kabisa Seif magari au Davis Mosha wanatosha kabisa
Team inatekwa na kikundi kidoogo sana hii ni hatari ,kuna mgongano wa maslahi hapo, waarbu na wasomali ni combination mbaya kabisa, twende na mzawa msollaUkweli mchungu,
Hela za GSM ndizo zimeifikisha Yanga hapo ilipo,mpira Wala hautaki viongozi wa kihivyo.
Unahitaji usajili mzuri,wachezaji wasiwe wanadai ni hivyo tu.
Peleka mbolea msimbazi .... mambo ya yanga hayakuhusu . Utapewa kibendi shauri yakoTeam inatekwa na kikundi kidoogo sana hii ni hatari ,kuna mgongano wa maslahi hapo, waarbu na wasomali ni combination mbaya kabisa, twende na mzawa msolla
matusi ya nini sasa? upeo wako ndo umeishia hapo?Peleka mbolea msimbazi .... mambo ya yanga hayakuhusu . Utapewa kibendi shauri yako
Mshindo msolla hagombeiTeam mwaka huu imechukua ubingwa chini ya msolla na inaenda kuchukua ubingwa wa afrika ama kwa hakika anatosha kabisa kuupata U rais wa klabu bora kwa viwango vya CAF eneo la afrika mashariki yaani the MIGHTY DAR YOUNG AFRICANS
Kubabaika na wageni toka somalia ni ukosefu wa akili, twende na mzee wetu mzawa toka morogoro, ikishindikana kabisa Seif magari au Davis Mosha wanatosha kabisa
Mambo ya yanga ayakuusu, kwako kunanuka umebaki kuchungulia kwa mwenzako ovyo kabisa weweTeam mwaka huu imechukua ubingwa chini ya Msolla na inaenda kuchukua ubingwa wa Afrika ama kwa hakika anatosha kabisa kuupata Urais wa klabu bora kwa viwango vya CAF eneo la Afrika Mashariki yaani the MIGHTY DAR YOUNG AFRICANS..
Kubabaika na wageni toka Somalia ni ukosefu wa akili, twende na mzee wetu mzawa toka Morogoro, ikishindikana kabisa Seif Magari au Davis Mosha wanatosha kabisa.
Yanga ni team ya wananchi wote wa Tanzania, imebeba matumaini makubwa sana mwaka huu ichukue ubingwa wa afrika hatuwezi kubali wahuni wachache waihodhiMambo ya yanga ayakuusu, kwako kunanuka umebaki kuchungulia kwa mwenzako ovyo kabisa wewe
Bado hawajashtukahawana akili hao team iongozwe na msomali? mafanikio ya msolla yako wazi kabisa
Apewe tu kibendi,Peleka mbolea msimbazi .... mambo ya yanga hayakuhusu . Utapewa kibendi shauri yako
mnaonekana mna uzoefu na michezo ya kufukuliwa mitaro huko utopoloni manaa wengine walililia mbele ya camera wakiomba mayele awape mimba sasa sijui huwa zinaingilia kwenye kinyeo?Apewe tu kibendi,