digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Umeshatumia neno wanyonge basi jibu umelipata. Magufuli kawalisheni matango hadi mumemuelewa enyi wanyonge wake!Hamis kipenzi cha wanyonge yupo wp?
Ule Moto wa Ruby Ni hatari aiseee. Pale kwenye earth song nikawa najiuliza huyu dada Ni binadamu kweli ama Ni jini.
Ilikuwa playbackUle Moto wa Ruby Ni hatari aiseee. Pale kwenye earth song nikawa najiuliza huyu dada Ni binadamu kweli ama Ni jini.
Huyo dogo kushinda kwangu sio inshu swali ni je ataweza kutoboa baada ya bss?
Nitajie hit songs tano za kayumba? Kayumba hajawahi kutoboa nje ya bss ni msanii ambaye alikuwa anastruggle kutoboa, Walter chilambo mziki ulimshinda mapema akaokoka akawa anaimba kwaya na huko kwenye kwaya gozbert ndo baba lao,Atatoboa mbona kina Kayumba, Walter na wengineo wapo... Sarafina ndio sijamsikia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hit song tano? Kwa muda gani aliokaa kwenye gemu? Mimi naona wanafanya vizuri kwa nafasi yaoNitajie hit songs tano za kayumba? Kayumba hajawahi kutoboa nje ya bss ni msanii ambaye alikuwa anastruggle kutoboa, Walter chilambo mziki ulimshinda mapema akaokoka akawa anaimba kwaya na huko kwenye kwaya gozbert ndo baba lao,
Kwa mwaka wasanii wanatoa nyimbo 3,4 hadi 5 so kwa muda aliokaa kayumba kwenye gemu unamtosha kabisa kutoa hit songs zaidi ya 3,4 hadi 5 so bss hadi sasa hivi washindi wao wamefeli marioo was juzi tu ana hitsongs za kutosha,Hit song tano? Kwa muda gani aliokaa kwenye gemu? Mimi naona wanafanya vizuri kwa nafasi yao
Sent using Jamii Forums mobile app