Mshiriki wa Kampuni ya TEHAMA Iringa Mjini

Mshiriki wa Kampuni ya TEHAMA Iringa Mjini

jian

Member
Joined
Apr 2, 2020
Posts
17
Reaction score
14
Habari wakuu,
Natumai mko poa, natafuta kijana mmoja aliyepo Iringa mjini mwenye uwezo mzuri na uzoefu wa kutengeneza Software awe aliyehitimu Shahada ya IT au related programs ili awe mshiriki wangu tufungue kampuni ya IT hapa Iringa Mjni. Kwa info zaidi nicheki PM. Asante!!
 
Back
Top Bottom